Mie nilipoomba VISA ya USA nilitishwa kama nimeiba cha mtu. Aaah huwezi pata visa yao na hasa kama wewe mwenye sijida kama mwezi ndio kabisa.
Lakini huwezi amini siku nilipoenda Ubalozini kwao kwa ajili ya interview niliulizwa swali ambalo siku litegemea na halikuwa la kiufundi kabisa nami...
Had I muda huu Liverpool bado wanakanusha kupokea barua tika kwa Coutinho,pia kumbuka katika mkataba wake wa January hakuna kipengele cha kuachiwa kwa bei (I.e Release Clause) kama kwa Suarez au wengine waliopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umempa jibu lililo zuri kabisa na lenye uhakika. Eda imewekwa mahsusi ili kuweza kufanya kitu hiki/tendo hili lisiwe rahisi kama tunavyo fikiria.
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Sio kweli kwamba wanapenda ni Sheria tu ndiyo imewabana ndio maana wamefanya huo ujanja wao wa kuongeza Shares badala ya kuuza 25% ya existing shares (eg walikuwa na share 75=100% wao wameweka 100=100% badala ya 25% ya 75 shares)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.