Mkuu - kwa kuongezea , hayo ya juu, ni kuwa uchumi wa nchi utashuka zaidi maana itakuwa nafuu kuagiza bidhaa nje kuliko kuzalisha ndani hivyo hazina kidogo iliyopo itaishia ku import bidhaa hivyo Shilingi itashuka thamani tena; hatimaye bidhaa zitakwa juu
Bw. Moshi ukisoma Ezekiel 18, ina sema kila mtu anahukumiwa kwa matendo yake, na kitabu cha Matayo pia kina sema hivyo . Lakini ni kweli tusichoke kuombeana daima. Na pia tuwe wepesi kusameheana saba mara sabini....
Nakubaliana na mawazo yako - Kwa upande wa Wa-Kristo nakumbuka kwenye Biblia Bw. Yesu alipokuwa msalabani, alikuwa kati ya wahalifu wawili, mmoja wapo aka-kiri kuwa na imani naye, Bw. Yesu akamwambia leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso!
Dada F - tuli wahi ku-debate hili in one of the previous threads. Kutaifisha mashamba pengine naweza kukubaliana kuwa it may have not been the right decision. Lakini je kubinafsisha Migodi yote ya Dhahabu na almasi in return for 3% royalty per year, Kweli unaona hiyo ni Busara? And was it JKN's...
Dada - ni kuwa sera ya ubinafsishaji ulioletwa na IMF/World Bank, kwa hata vile viwanda vilivyo anzishwa na hayati Mwl. JKN ndiyo imeleta balaa la sembe mjini . Pia mbele ya vipande thelathini vya pesa ( kwa kubinafsisha Viwanda na Migodi) watu (viongozi) ambao Mwalimu aliona ndio waumini wake...
Wadau - nadhani nchi ilipoanza kupata misaada ya IMF/World Bank ndipo political control ilipotoka mikononi mwake kuhamia magharibi. Hata yeye mwenyewe alikuwa ana sita kuchukua mikopo huko akijua maamuzi yote ya nchi yatafanyika 'Washington'. Nadhani wote ni mashahidi leo, tunashuhudia...
. biblia inasema amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumfana kama kinga yake.
Mkuu Ebhard, ujumbe mzuri. Unaweza kutufahamisha Kitabu na verse yalipoandikwa maandishi hapo juu. Thanks S.
Good answer - nakumbuka waingereza walimuuliza swali hilo hili Muammar Gaddafi; akawajibu hivyo hivyo, baadaye wakampoteza. Yule Mzee ni moja ya watawala wachache wenye msimamo thabiti ktk hili bara.
Mkuu Nyenyere - itengenezwe mara ngapi? Pia baada ya kutafakari unapata maana halisi ya Demokrasia. Na unapata majibu kwanini Raisi wa Libya alipotea baada ya kutaka kui - replace CFA Franc..
Mutuz - Nadhani wewe ndiyo hujaelewa - the issue is what is causing the economic malaise in Tanzania today. And we are arguing that it is not Mwl. JKN but the current politicians currently governing the country. It is well documented in this forum that mining royalty received by Tanzania is a...
[W. J. Malecela]- Ahsante ila ninapokusoma napata usingizi kabisa I mean haya tuliyonayo leo ndio matunda ya uongozi wa Mwalimu, kuanzia Viongozi mpaka siasa tuliyonayo, nshangaa unajaribu kukwepa unakwepa nini mkuu? hawa viongozi tulionao leo hawakuwepo under Mwalimu? Kujenga foundation ya...
Hivyo Kwa mtazamo wako viongozi wa leo ambao wamelitishwa Taifa deni karibia TZS 30 Trillion ni BORA kuliko Mzee Kambarage ambaye aliacha nchi na deni SIFURI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.