UPDATES:
Naam Hoja ya kwanza ndio inaelekea ukingoni kuna dalili za jaji kuitupa nje! Pamoja sanaaaa!
HOJA zenyewe ni hizi:
1)Kwamba Mnyika alimtuhumu kuuza nyumba za UWT
2)Kutumia Laptop za Mnyika Kuhesabu kura
3)Kuingia watu wengi wa CHADEMA ktk chumba cha kuhesabia kura
4)Kuzidi kwa kura...
wewe thamani yako shilingi ngapi? hapo ulipo bila shaka una ACCA, CPA, MBA, ETC bado unataka kujua wanalipaje! kawaambie unachotaka wewe ili uende kule, hivi vitu vinakuwa wazi kwenye usaili, Ila kama uliko sasa hakieleweki then huitaji kujua wanalipaje, unatakiwa uombe kazi na usali ili uipate...
nasikia kuna vituo vinavyouza bado, ni vipi hivyo walau tupate vijilita vitatu. Serikali ya JK inakamuliwa kin**** na wauza mafuta, asubiri mgomo wa dalala nao waja!
hizo nguvu za maji ndo zinaleta shida bado naona ziko kwenye mipango ya muda mrefu! kweli sikio la kufa halisikii dawa. halafu huo muda mrefu unaaisha lini? tangu enzi za mwinyi kuna miradi ipo kwenye miradi ya muda wa kati!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.