Jamani ili swala la rada ushahidi upo wazi, kinachotakiwa watu wapelekwe mahakamani! Barua kutoka SFO kwenda AG-URT inatamka wazi kabisa maofisa wa serikali ya tz waliohusika ktk sakata hili, uchunguzi mwingine wa nn?! Mengine yatabumbuluka ukouko makamani.
Vithlani alihongwa heka na BAE ili awaconvince viongozi wa tz wanunue radar kwa bei ya juu, mahakama ikaamuru BAE wailipe tz kama charity paundi mil 29. Hii cyo chenji bali ni tozo ambayo BAe imeamriwa na mahakama ilipe kwa watz na cyo serikali ya tz ndio maana BAE wanataka wachannel hii ela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.