hapo ndipo ndugu zangu ndipo mnapo jidhalilisha watu wengi humu account zao si za kweli wengi wao wanaweka hata majina feki huyo jamaa anataka kuwaona watu wenye uchu mko wangapi. Hivi kweli mishababi iliyo jaa Dar yote hiyo akose basi atakua na gundu la bundi na kama anasema anajimudu msingi...
Huku tunakoelekea sijui ni wapi ndugu zanguni yani ni sawa na unamkuta fisi anaanza kumla mbuzi wako eti ww kwa hasira unamsusia fisi ale hadi ammalize. ni hivi tunajifunga midomo kumaanisha hatutachangia chochote bungeni hatuoni kwamba ndio tunawapa hawa jamaa muda mzuri mzuri wa kupitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.