Mkuu hivi unatarajia mbunge wa upinzani alete mapendekezo yanayoonesha udhaifu wa sheria, halafu wabunge wa ccm waumge mkono?
Si tumeona jinsi serikali inavyowaita wabunge wa ccm na kuweka misimamo?
Serikali inatakiwa kuwasilisha mabadiliko hayo bungeni. Tusisubiri msonobari kudodosha maembe.
Aliyetoa list anazungumzia watu weusi. Sababu za kutaja watu weusi anazijua yeye.
Kinachoongelewa hapa ni waafrika. Obama. Martin Luther Jr siyo waafrika.
Aliye quote hiyo list kajichanganya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.