Hujakosea hata kidogo,Watanzania wengi tumeumbwa na roho za ajabu sana,kupongeza juhudi na mafanikio ya mtu ni nadra sana,mtu akiwa tajiri ni mwizi au freemason anaua ndugu zake wakati wewe unashinda kutwa Simba ,Yanga.
Nimewahi kusikia wakati wa Ndalichako hizi St kuwa zilikuwa...
Tanzania nchi ya ajabu sana
Huku Hangaya anatangaza kuogombea 2025
Huku Mbowe mahakamani uhujumu uchumi na ugaidi
Huku Gwajima na chanjo
Huku baraza la mawaziri limefanyiwa marekebisho
Jua linazama na kiza kitafunika anga huku tukitegemea mapambazuko
Tatizo fedha nyingi zinazopatikana iwe kwenye makusanyo ya kodi au Misaada na mikopo kutoka nje zinaishia kwenye kuhudumia tabaka dogo la watawala(rulling class)
Hebu fikiria kwenye jimbo au Wilaya moja kuna
1.Mkuu wa Wilaya
2.Mkurugenzi
3.MBUNGE
4.Katibu Tawala
5.Mwenyekiti wa Halmashauri na...
PK anawawinda wapinzani wake kama kuku
Kumbuka mauaji ya Patrick Karegeya aliekutwa kanyongwa hotelini nchini Afrika kusini
Sasa hivi anamshikilia Paul Rusesebagina aliecheza filamu ya Hotel Rwanda,
Ukikaa na wacongoman ukiwauliza kwa nini waasi hawaishi nchini mwao wanakiri kuwa wao hawana uasi...
Mkuu kojoa ulale
Kesho ukiamka kanunue luku ukatwe buku ya kodi ya jengo japo unaishi chumba kimoja cha kupanga.
Asie nacho hata kile kidogo alichonacho ataporwa,hapa ndipo mlegeza macho alipotufikisha
Ninachokiona ni hivi
1.Ikiwa utaratibu utafuatwa basi itabidi wenye nia wote wachukue form na washindanishwe kwenye mizania moja.
2.Kama Mwenyekiti wa sasa atachukua form na yeye itabidi apitie kwenye mchujo.(atahesabiwa katika wapya)
3.Ukweli ni kuwa Samia ni Rais kwa mujibu wa Katiba ya...
Salim alikuwa anaonyesha hofu kuu
Pili yeye ni mtangazaji kwa maana kile anachotangaza mara nyingi huwa ameandaliwa
Yule Mzungu Sucker aliemuhoji Tundu Lissu alitakiwa afanye mahojiano na SSH
Muda utasema
Hata hizi tozo zimetuchosha sana
Ukweli tunatumia gharama kubwa sana kuhudumia Rulling Class
Natamani ifike 2025 nione mtifuano ndani ya chama tawala
Kuna maoni kuwa SSH achague kuwa Rais wa Tanzania au wa CCM
Tatizo huwezi tengenisha taasisi ya urais na ccm...yuko pale kutimiza matakwa ya MACCM
Ili awe Rais wa Watanzania wote lazima ashupaze shingo kweli kweli,
Anaweza kuwa na nia njema lakini siwaoni ccm wakimpa hiyo nafasi
Tatizo ninaloliona kwa sasa ni kuwa SSH anashindwa kujipambanua kama mtenda haki moja kwa moja,
kuna maslahi ya ccm wenzake,wananchi wa kawaida na wapinzani,SSH hajajua au kuamua asimame wapi,
Tatizo katika nchi hii kitu cha kwanza kinacholindwa ni maslahi ya wana ccm,sio wananchi(wanasiasa wa...
Kuna maeneo kodi haikusanywi
Eneo la wafugaji,maziwa na nyama
Biashara ndogo zisizo rasmi kama mitumba ya nguo na viatu
Biashara za kuku na mayai
Iweje mshahara wa laki tatu ukatwe kodi wakati kuna watu wanafanya biashara kubwa na hawakatwi hata shilingi moja?
Tatizo lingine ni umbali wa shule walizopangiwa hawa wanafunzi,
Mtoto yupo Arusha anapelekwa Ruvuma au Biharamulo
Kwa mzazi asie na uwezo hiyo nauli tu ni kizungumkuti
Kuna haja ya kutafuta pesa upeleke mtoto wako unapopataka wewe kuliko kusubiri kupangiwa na hoizi akili za Maccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.