CDM inapaswa kuwa makini sana na UJIO wa Millya. Mtakuja kukubaliana nami wakati CDM imekwishasambaratishwa na MIllya kwani Millya ni MAMLUKI anakwenda CDM kukiua/kukivuruga ili siku moja ndoto ya sisiem kuichukua tena 'A-town' ifikie. HII NI STRATEGY KALI SANA YA SISIEM; huu ni mchezo kama na...
Wakuu mlioko huko heshima kwako Makene, Je hapo nje ya ukumbi vijana bado wapo wakilinda ushindi wao? Natamani ningeungana nao kama ningekuwa huko.................... hata hivyo, pamoja saaaaana............
Mkuu,
Ni kweli kura zao ni muhimu lkn wanaweza wakapelekwa kwa magari ya serikali na wakalazimika kuondoka makao makuu ya wilaya asubuhi ya j2 wakipelekwa walikopangiwa kusimamia mtihani. Je wafanyeje?
Heshima kwako mkuu,
Ni kweli siyo wote. Lakini je walimu zaidi ya 60 wasipopiga kura hakuna 'impact' ktk kumuongezea mgombea ushindi? Kumbuka kwamba kuna mbunge mmoja wa bunge la 10 kutoka ktk Mkoa wa Shinyanga alishinda kwa tofauti ya kura moja.
Je waifaham vema miundombinu ya barabara za...
Wanafunzi wa Kidato cha 4 nchini kote watakuwa wakifanya MTIHANI WA TAIFA wa KUMALIZA KIDATO CHA 4 kuanzia tarehe 3/10/2011. Hivyo walimu kadhaa wa sekondari nchini kote watahusika kusimamia mtihani huo. Walimu wa Igunga nao watahusika kusimamia mtihani huo pia.
Kwa taratibu za NECTA walimu...
Data anazo, tena zipo za kutosha sana. Je waliouawa kule NYAMONGO na majeneza yao kutupwa barabarani walikufa kwa maralia? siyo kwa kuuawa? wafikiri hatujui aliwaua nani? bishia na hilo ili hata watoto wa miaka 10 wakucheke.
Watu wengine wapo kama wamelogwa vile.....................
Waziri Nchimbi akimbia na sanduku la kura Songea
Madiwani warushiana makonde
VURUGU kubwa zimezuka jana mjini hapa baada ya baadhi ya madiwani kurushiana makonde na kumlazimu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. John Nchimbi, kukimbia na sanduku la kura nje ya ukumbi baada ya...
Waziri Nchimbi akimbia na sanduku la kura Songea
Madiwani warushiana makonde
VURUGU kubwa zimezuka jana mjini hapa baada ya baadhi ya madiwani kurushiana makonde na kumlazimu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. John Nchimbi, kukimbia na sanduku la kura nje ya ukumbi baada...
Asante Mkuu kwa kunijuza kwa hilo. Twasubiri picha na mpango mzima ulivyoenda.
Jana ktk taarifa ya habari saa 2 usiku nimeona MTOTO MCHANGA HUKO SONGEA ANA UVIMBE MKUBWA KICHWANI LKN MAMA YAKE HANA HELA YA KUPELEKA HOSPITAL KUBWA KUMTIBIA. HOSPITAL YA HUKO ALIKO WAMEJITOLEA KUMPA SENTI KIDOGO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.