Malumbano ni mabaya sana,watu kama hawa ni kufukuza tu,la sivyo tutajipunguzia credit sana..this how TLP finished few years ago na hi ndo kazi ya kitengo cha propanda CCM.
Dini ziko nyingi ata uchawi dini na zina viongoz wake wakiwemo hao wauza madawa bt pia kuna watumishi waaminifu wa mungu muumba mbingu na nch ambao utawatambua kwa matunda yao..Msichanganye mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.