Hi!Kumekuwa na atabia ya baadh ya watanzania kushabikia mambo wasioyajua na kuyatolea suluhu.
Ni vizur kukaa kimya utaonekana pia unajua kuliko uongee ovyo halaf ifahamike kuwa hujui kitu!
Natolea mfano mgomo wa Udom,watu wanaongea mambo meng bila kuuliza nn chanzo.
Tafadhal fuatilia mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.