I agree, the model is country specific. The country being over populated had tight administrative control before and after 1994. And real development implies changing the nature of the economy, into industrial and post industrial (Technology Based). Most of our countries are still based in the...
Kama kweli ni adhabu ya kijamii, basi kwanza ni lazima awe amekubaliana nayo, na viboko vinatakiwa visizidi 25 kwa mkupuo mmoja kwasababu za kitaalamu. Ukuharibu misuli mingi kwa pamoja inatoa protini nyingi kwanye damu na kuziba figo. Sasa kwa mfano akifa kwa kuziba figo huyo aliyempiga...
Kwa upande wa Tanzania hatuna sanamu zenye kuleta matatizo. Kule India walilazimika kuondoa sanamu za watawala wa kiingereza baada ya Uhuru 1947. Baada ya dola za kukomunisti kuanguka 1989 - 1991 sanamu za viongozi wa kikomunisti zilidodnoshwa, na Saddam Hussein yake 2003. Tukumbuke sanamu hizi...
Mimi ninafikiri Mwenge wa Uhuru ni jambo la maana sana, unatakiwa uwe sehemu ya kusherekea sikukuu ya Uhuru, tarehe 9 Dec. Ningependekeza kwenye sherehe za Uhuru, kuwe na nafasi ya Mwenge kuingia rasmi na kuzimwa rasmi baada ya kutekeleza majukumu yake. Jambo hili litaondoa mjadala wa Mwenge kwa...
Hakuna tiba mbadala. Kuna DM 1 na DM 2.
Type 1 (DM 1) lazima atumie Insulin, la sivyo ....
Type 2 (DM 2) kuna mambo makuu matatu, la kwanza ni kupunguza wanga kwenye chakula, la pili ni kufanya mazoezi angalau kwa saa limoja au mawili kila siku (Jogging 1 - 2 km kwa siku). Na la tatu ni dawa za...
Kuna fomula ya kuumpa mtoto maziwa ya n'gombe, yanaongezwa maji na sukari. Lakini tafadhali uulize kwenye clinic ya watoto ni kiasi gani. Ninavyokumbuka ni theluthi moja maji, ila kiasi cha sukari sikumbuki.
Tuna matatizo ya ajira. Ukweli ni kwamba uchumi wetu hauruhusu wahitimu wote wakaajiriwa, iwe ni serikali au sekta binafsi. Kama mtu hajapata ajira ni vizuri akafikiria kujiajiri. Kwenye mfumo wowote kuna kuwa na fursa "niche" ambayo unatakiwa uitafute na kuitumia ipasavyo.
Je kama mfanyakazi ameshafanya kazi kwa miaka mingi, labda ni mwalimu, halafu akagundulika na cheti bandia. Ina maana kuwa yale yote aliyofundisha hayakufanyika sahihi? Na wanafunzi waliofaulu wakafika mpaka chuo kikuu kwa kufundishwa na huyu mwalimu warudishe vyeti vyao? Kwa kuwa...
Hakuna sababu ya jambo hili kwasababu deni la taifa halilipiki. Kama ukufuatilia huko nyuma ilikuwa wazi kuwa hatutafanikiwa kulipa hayo madeni hata siku moja. Vile vile siyo kila deni huwa linalipwa. Madeni mengine yanabaki madeni milele.
Leseni za biashara zitolewe TRA, na ziwe zinantolewa kila mwaka kama Motor Vehicle Licence. Na kwa vile leseni hizo zitahusisha TIN na namba ya simu na GPS coordinates za bishara hiyo itarahisisha ukusanyaji wa kodi kwa wale wakwepaji.
Pia kila aina ya leseni itakuwa na kiwango cha chini cha...
Hili swala la kodi za Tanzania si rahisi kama linavyozungumziwa.
Kila ninayemsikia anasema wengine walipe kodi, wafanyabishara wakubwa walipe kodi nk. Lakini kodi za Tanzania ni kama ifuatavyo:
1. Kodi ya Mapato ambayo wanalipa wale wanaolipwa mishahara tu na baadhi ya wanfanyabiashara...
Demokrasia ya Tanzania ilirudishwa nyuma January 1963, tukabaki na "demokrasia" ya chama kimoja hadi Julai 1992. Kuna wengi ambao hawakuwa wamepevuka kisiasa mwaka 1992. Ilichukua shinikizo kutoka nchi wahisani kuleta demokrasia kamili. Kurudi kwenye udikteta haitawezekama tena na hao wenye...
Ulalule...... Manispaa wajitahidi hizo barabara zitengenezwe. Diwani wa Kata ya Longuo B na yule wa Kata ya Kilimanjaro tunawataka walivalie njuga hili swala ili Halamashauri ikarabati hizo barabara. Tuache utani!
Umaskini wa Tanzania un sababu kuu mbili:
1. Watanzania wanazaliwa katika familia maskini, na inakuwa ni wajibu wa mtu mwenyewe kujitoa huko kwenye umaskini.
2. Umaskini wa Tanzania unatokana na umaskini wa nchi, kumbuka kutochanganya utajiri wa rasilimali na utajiri wa nchi. Miaka ya 1990...
Wote tunajifunza kwa majaribio, baadaye atafahamu kuwa labda ni vyema aiache hiyo propeller shaft kwani itahitajika kwa kazi za baadaye (starehe na uzalishaji mali [binadamu])
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.