Dah kaka hilo jibu lako mwisho kabisa umeona nastahili kupewa?
Nimetokea huko mwanzo nikafata link ya Download km alivyoeleza mtoa mada lkn sijafanikiwa so km kuuliza ni kudandia post nisamehewe bure kwa usumbufu
Ulieanzisha hii thred mm naona kama umekurupuka mno. Hii style ya uongozi ndio haswa tumekuwa tukiipigia kelele kwa miaka mingi hapa nchini kwetu sasa kwa bahati nzuri imekuja kwenye PRACTICE unaponda...
Hii nchi ili ipige hatua hakuna kinachoitajika kwa kiwango kikubwa kama UWAZI.
Mambo...
Waziri Mkuu aliejiuzulu Edward Lowassa amesafirisha wahariri wakuu wa vyombo vyote vya habari toka Dar es salaam na kufanya nao mkutano maalum leo nyumbani kwake mjini Dodoma. Katika mkutano huo kwa ufupi Lowassa amesema yafuatayo;
1. Amesema Hahusiki lolote na sakata la Richmond na ndio sababu...
Waziri Mkuu aliejiuzulu Edward Lowassa amesafirisha wahariri wakuu wa vyombo vyote vya habari toka Dar es salaam na kufanya nao mkutano maalum leo nyumbani kwake mjini Dodoma. Katika mkutano huo kwa ufupi Lowassa amesema yafuatayo;
1. Amesema Hahusiki lolote na sakata la Richmond na ndio sababu...
Mungu azidi kuwafungulia njia wasanii wa hip hop tz kwani kazi mnazofanya ni za thamani ya kutambuliwa na ulimwengu mzima na hili litadhihirika soon, ongeza jitihada kadri muwezavyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.