Nilikua nanunua kabang kwa 9,000 kwa siku 7 sasa hivi ni 10,000 kwa siku saba
Kwahio ongezeko ni 1,000 kwa siku 7 = 1,000x 4= 4,000 kwa mwezi. Hii si sahihi watz tuamke!!!!!!
?.
Inasikitisha kuona wale wanaojiita viongozi wanapokua na mtazamo finyu kuhusiana na suala zima linalohusu maamuzi ya wananchi. Ni nani anayewapa haki ya kuamua kwamba fulani ndie raisi ajaye ikiwa hilo ni jukumu la wananchi? na je mnafikiri kwamba nchi hii ni mali yenu ambayo mnaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.