NB: kazi ya mbunge ni kutunga sheria pale mjengoni, kuwawakilisha wapiga kura wake mjengoni. Kujua matatizo na changamoto zilizopo jimboni nakuziwasilisha kwenye mamlaka husika, kufuatilia na kuchagiza shughuli za maendeleo jimboni, ..n.k
Siku laumu huo ndio ukomo wako wakufikiri!
Mchango wa zzk kwa taifa hili na kwa chama chake ni wa kiwango cha kupigiwa mifano, badala yakumtia moyo au kujifunza na kufanya vizuri zaidi yake.. wengi wenu inawauma kwa wivu wa kijinga.....!Acheni porojo, majungu na unafiki!
Propaganda na Ushabiki...
Kuwaondo wenye mawazo tofauti na mabos zenu..eti kuimarisha taasisi/chama..eti usaliti..unaushahidi? yakuambiwa changanya na yako!
Mchango wa zzk kwa taifa hili na kwa chama chake ni wa kiwango cha kupigiwa mifano, badala yakumtia moyo au kujifunza na kufanya vizuri zaidi yake.. wengi wenu...
Mchango wa zzk kwa taifa hili na kwa chama chake ni wa kiwango cha kupigiwa mifano, badala yakumtia moyo au kujifunza na kufanya vizuri zaidi yake.. wengi wenu inawauma kwa wivu wa kijinga.....!Acheni porojo, majungu na unafiki!
Propaganda na Ushabiki wakujipendekeza upande wa wenye...
Kama matakwa yako ni local channel zaidi, kiukweli kwa sasa startimes ni bora na hasa ukiwa na antena ya nje ndio balaaa jirani zangu wana-enjoy tu na kama hakuna game basi kwangu wanakuja kutusabahi!
kama wahitaji world sports zaidi kama mimi huna budi kuchukua dstv ndio mwake
ila ndio jipange...
Naomba tusimajdili huyu maana naona tayari anatokwa na povu mdomoni pia haelewi anachokifanya,MUNGU amsaidie ili akili imukae vizuri na aweze kuendelea na ujenzi wa taifa vinginevyo tunamajanga ya watu kama hawa
Kweli kazi tunayo nilifikiri utaanza na serikali kuwa inatakiwa kuboresha mazingira ya hospitali zetu ili viongozi wetu watibiwe hapa na sio nje ya nchi. Sasa unaanza na mtu ambaye yeye pia ni muhanga wa tatizo na ndie ambaye anapiga kelele kila siku kuwa pesa nyingi zinatumika ndivyo...
Vijana wakiTZ tubadilike, kulalamika tu haitotusaidia kitu tuanze kuchukua hatua na kutenda! Peleka hii kesi kwa wanasheria muandae tuhuma za kampuni ya udalali na kampuni iliyokuajiri mkawafungulie kesi mahakamani.
Mungu awapumzishe kwa amani Makamanda hawa waliopoteza uhai na awaponye majeruhi!
Natoa wito kwa vikosi vyetu vyote vilivyokwenda kulinda amani chini ya mwamvuli wa UN au AU (kuongeza umakini, jiepusheni kufanya kazi kwa mazoea, jiepusheni na wamawake wa watu, epukeni ulevi mbwa na anasa za...
Katiba haitoweza kuwa na maoni na matakwa ya kila Mtanzania! ni lazima tukubaliane na mtengamano wa mgongano wa mawazo, Rasimu iliyotolewa na tume ya warioba bado inatuhitaji sisi wananchi tuijadili na kutoa mapendekezo yetu kupitia mabaraza ya wilaya au babaraza ya makundi mbalimbali, pia...
Wanangu nawafundisha Upendo kwa Mungu na kwa watu wote. Napenda wamjue Mungu na kutekeleza yale mema aliyotuamuru kuyatenda na kuyaacha mabaya (dhambi) aliyotukataza.
Nawafundisha wanangu wazijue haki zao na kutimiza wajibu wao.
Pia napenda watoto wangu wakue wakiwa na uthubutu na wasiwe watu...
Hakuna kituo cha redio nisichokipenda kama hiki kituo cha redio. Yaani ni matatizo sana kwa wasanii,mimi sio msanii ila na waonea sana huruma hawa wasanii kwasababu hawajifunzi kama jide na wengine wengi jamaa hao wamewafanyia vitu ambavyo sio sahihi yaani dhuruma sasa hao wanaojipendekeza...
HAKUNA CHA KUREMBUA WALA NINI! BARAZANI tunajua "Bandari na Reli ni kwa uchumi na masilahi ya taifa" lakini mwananchi wakawaida hatoona mguso wake? na tunataka tuendelee kuchaguliwa.....ndio maana serikali sikivu ya ccm inatilia mkazo vipaumbele vinavyoonekana moja kwa moja na...
Hii ni nchi masikini haiwezi kujenga nyumba kiasi hicho....! hivyo basi serikali inayoongozwa na CCM ni sikivu. walimu si wanamishahara yao? Mnataka raisi anyeshewe mvua?..........ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.