Unajitia upofu kwenye vitu vinavyoonekana waziwazi. Hayo mapokezi unayoyasema tumeyaona na hayafikii hata robo ya mapokezi ya Mwinyi. Ukweli utabaki palepale Mwinyi anakubalika na ndiye raisi ajaye.
Baadhii tu ni kama yafuatayo:
1. Kugeuza mapori yaliyotumika kwa uhalifu na ujambazi kuwa hifadhi ya taifa ( Burigi; Chato; Ibanda na Lumanyika)
2. Kulipa madeni ya kahawa kwenye vyama vya ushirika.
3. Kukarabati shule za sekondari za Kagemu, Bukoba, Rugambwa na Kahororo.
4. Kujenga shuke mpya...
Umeandika kwa mihemko sana. Ngoja nikupe list ya baadhi ya viwanda vilivyofunguliwa na Raisi Magufuli katika kipindi cha miaka mitano iliyopita:
1. Kiwanda cha Global Packing kilichopo Kibaha mkoani Pwani
2. Viwanda vya mradi wa upanuzi wa mtambo wa maji wa Ruvu Juu na uzalishaji wa mabomba...
Utopolo ni kudhani unajua kumbe hujui. Halafu unajichanganya kishenzi yaani. Ok tuanze na paragraph yako ya mwisho kwenye reply; eti hao watumishi wa umma ulosema wanajenga miundombinu wanajenga kwa kufuata maelekezo ya nani?
Serikali iliyopo madarakani ndio inatoa maelekezo. Chama kilichopo...
Ndugu zangu,
Nawatakia asubuhi njema, Kama ilivyo ada yetu ya kuangazia mambo kadhaa yanayohusu mwenendo wa Kampeni zetu leo nitafanya tathmini fupi ya robo ya mzunguko wa Kampeni. Nitazungumza katika namna ya Ulinganifu katika maeneo yafuatayo;
Hoja za Wagombea;
Kwa uchache wa muda leo...
Umejiunga jamiiforums tarehe 19 August 2016, takribani siku 40 kutoka leo...tayari umeshajua nani analipwa na nani halipwi..tuliza kipira kijana, walioingia kwa spidi nyingi kama hivyo wengi wapo maternity hivi sasa.
1) Uuzaji wa Nyumba za Serikali kwa bei Chee - MUULIZE F. T SUMAYE
2) Pia Kuna nyumba ambazo ziliuzwa kwa watumishi wasio na sifa (ref. Bomu linalomwandama Magufuli - wavuti) - TAFADHALI AULIZWE SUMAYE ANAYO MAJIBU.
3) Uidhinishaji wa Kiwanja ilipo Bar ya Breakpoint pale...
Usipojilazimisha kutafuta elimu ujinga hautakutoka..,vivyo hivyo ukiamua kusubiri kutafuniwa taarifa na ukaacha hata kufanya ulizio...utaendelea kubaki kama ulivyo...!
Anaitwa JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI...!!!
Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ilipoamua kuwa JOHN wa CHATO awe mgombea wa CCM 2015 walikuwa na uhakika juu ya uadilifu wake, uwezo wake na ujasiri wake.., mtaelewa tu..!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.