We jinga kweli, umesikia wapi Yanga inamilikiwa na GSM? nyie kama mmeamua kuuza timu yenu kwa mudi mtulie mmilikiwe.
Kwa Young African huo upuuzi noo.
GSM ni mdhamini tuu.
Hapa sasa iv tunavoongea sgr ya kenya ipo naivasha maana yake inaweza fanya kazi tokea mombasa hadi naivasha km 579.
Lakin hadi sasa sie watanzania sgr yetu haijaanza kufanya kazi dar to moro 200 km, then wewe pasco unakuja kusifia hata hueleweki
Bora umekiri kuwa tunadaiwa na unaamini tutalipa ilo deni ili safarii iendelee. Naomba nikuulize kitu huoni kuna ujinga mwingiwa makusudi unafanywa na serikali ambao unatugarimu sisi kama taifa? Mfano wangeongeaa mapema na SAA kuhusu ilo deni je abiria wangeathirika? Je sisi wananchi tungejua...
Laiti watu wanavowalalamikia wachagga kuwa wamewaibia wengine,ingelikuwa nchi inaongozwa kwa serikali za majimbo hakika kilimanjaro ingekuwa na maendeleo zaidi ya mara 5 ya yalivyo saiv.
Maana kodi nyingi zinazokusanywa na serikali kuu zinazotokea kilimanjaro zinarud kidogo kwa ajili ya...
Tatizo unaongea bila fact na wala hujui historia ya wachagga wala chochote kile kuhusu umoja wao na maendeleo yao kwa pamoja.
Wakati nasoma uchagani michango ilikiwa inachangwa kila nyumba 10000 kila mwezi kwaajili ya kujenga madarasa ya shule.
Kulikuwa kuna ujambazi mkubwa haswa wakati wa...
Pia angewekeza katika miradi kama ya maji hata kila nyumba au mita 20 kutoka kila nyumba iwe na maji safi wilaya ya chato.angeunda vikundi vya saccos na watu waelimishwe juu ya uvuvi bora na wakisasa pia kilimo na ufugaji bora, na wakopeshwe mitaji na atafutie masoko ya bidhaa zao.
Hapo chato...
Lakini pia mfanyakazi anao uhakika wa kupata iyo mil 2 kwa mwezi. Ila mfanyabiashara hana uhakika hata kidogo.tena kama biashara yake ina risk kubwa basi ana uhakika wa hasara pia mtaji kumeguka baadhi ya miezi.
Androidtokea siku nyingi haifanyi kazi uchina.ilishapigwa marufuku kwa sababu za kiusalama.kwaio kwa hapo china huawei wanatumia operating system zao ilasoko la duniani ndio watachemka sababu android ndio kateka
Tulichoma moto ngombe wakati wa rift vallley, tokea hapo sijajua kama wewe muislam safi au shehe au muhumin yoyote wameacha kula ngombe, kwa sababu za mwanzo zilikuwa na magonjwa s
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyama wote wana magonjwa .ngombe na mbuzi ilitokea rift valey. Tuliwazika wazima hapa tanzania.
Lakini leo pia tunawala waislam kwa wakkristo.
Sasa tatizo la floo ndio lichangie tuu nguruwe aonekane mbaya wakati ni wanyama wote
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.