majibu yapo kwenye thread yako mkuu...wewe unapenda kupiga mechi kama upo fainali ya kombe la dunia wakati mwenzio anawaza kwenda saluni...uamuzi ni wako.
uishi nae hivyo hivyo au utafute mpenda ngono kama wewe uoe.
ila kumbuka ndoa ni zaidi ya ngono mkuu
nashukuru sana kwa kunikaribisha na kwa ushauri wako.
ngoja nione hali itakavyokuwa.nikiona mkanganyiko wazidi basi sitakuwa na namna zaidi ya kubadili user ID.
kama unajua kiswahili nadhani utakuwa umenielewa niliposema kwamba mie ni jumanne kabwela na sio jimmy kabwe.nimeona niseme hili ili watu msije changanya na kudhani mie ni huyo jimmy au nina mahusiano nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.