Jaman magu hali si nzuri watoto wanafunz wametapakaa mitaani nimetembelea shule za magu mjini nyalikungu,itumbili,magu sec,itumbili sec hakuna walim kabisa shule zimefungwa . source mimi mwenyewe
sasa sijui kama alieyeua atakuwa amekodishwa toka uganda au alikuwa anaenda ungama? Hiyo ni kutokana na fitna za mwigulu kutuma watu wakafanye virugu ktk mkutano wa chadema.wmkamate tena kwanza mwigulu.
sasa sijui kama alieyeua atakuwa amekodishwa toka uganda au alikuwa anaenda ungama? Hiyo ni kutokana na fitna za mwigulu kutuma watu wakafanye virugu ktk mkutano wa chadema.wmkamate tena kwanza mwigulu.
kazi ipo hapo tatizo palisi wa tanzania shule hamna ndo maana kila jambo wanafanya kwa kushurutishwa,promotion yao inategemea na maagizo toka kwa baba riz
lisu yupo sahihi 100%,tatizo ni muungano hapo hakuna lingino,zanzibar ni taifa la kislam na wakristo ni wakuja,hivyo wanachoma makanisa ili kuwaondoa wabara wabaki na zanzibar yao,zanzibar komaeni mpaka kieleweke,hakuna ugaidi ukiwa unadai haki yako
lisuu ypo sahihi kabisa na wasipo wapo zanzibar yao ipo siku uamsho litakuwa kundi la kigaidi,tatizo serikali ya ccm haiwezi kuona jambo bila ya mashinikizo,suluhisho hapo ni muungano tu kuvunjwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.