Hizo fedha za kufanyia uchaguzi zitapatikana wapi,wakati serikali yalia haina fedha?mgomo wa madaktari unaoendelea ni matokeo hayohayo ya serikali kutokuwa na fedha tuambieni hzo zitatoka wapi?ni kweli uchaguzi ni muhimu sana lakini si kama ilivyo maisha ya watu.
Hoja anayoitumia pinda kutetea posho kwa wabunge ni nyepesi mno,na haina ukweli ndani yake,hatuna wabunge wa wanamna hiyo ya kubakia hana kitu mwisho wa mwezi eti kwa ajili ya kuwatumikia wapiga kura wake,kama tunao wa namna hiyo na ajitokeze yeyote humu kuwa list out.Kwnn afikirie posho kwa...
Hakuna cha wivu hapo,ukweli unabaki pale pale,hakuistahili heshima hiyo hata kidogo.Hivi ni lipi kubwa la maana kaifanyia nchi hii zaidi ya kusafiri nje na kusahau vijiji vyetu na watu wake wakiwa wamegubikwa na umaskini wa kutisha? Ni katika kipindi chake hiki tumeona serikali inashindwa...
Tatizo ni kuwa wengi anaowateua ni rafiki zake wa karibu,na ndio waliomketisha hapo ikulu,kwa mantiki kuwa walimwezesha kwa kampeni,sasa ataanzia wapi kuchukua maamuzi mazito wakat washkaji wanataka kuresha fedha zao kupiti vyeo walivyopewa?
asamehewe huyoo,hajui anenalo,alichokiandika kina fanana na uwezo wake wa akili.Ndio walewale wa kuridhishwa kwa kofia na t-shirt,pamoja na shilingi elfu tano,wanasahau yote yanayowasiibu na yanayosababishwa na hao anaowafagilia.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotoka jana kutokana na utafit ulofanywa kuhusu rushwa Afrika mashariki na kati, Tanzania katika nchi tano za ukanda huo imepanda hadi kuwa ya tatu,tofauti na ambavyo ilikuwa mwaka jana ambapo ilikuwa ya nne.Miongoni mwa taasis zilizoifikisha hapo jeshi la polisi ndilo...
Mpaka muda huu sijafahamu haswa mantiki ya kuitisha mkutano na waandishi wa habari, halafu asizungumze kuhusu Richmond, Dowans na mustakabali wa nchi yetu haswa katika kipindi hiki kigumu cha mgawo wa umeme.
Watanzania walitegemea azungumze kuhusu kulipwa kwa Dowans, kujivua gamba na msimamo...
Hiyo ni habari njema sana,amelalamikiwa sana kupitia njia mbalimbali kujaribu kumwonesha jinsi watanzania wasivyoridhishwa na anavyoiongoza nchi yao,lakini hakuonekani dalili kuwa anajali,anasikia na anathamini mawazo yao,sasa wameamua kumwonesha kuwa wamemchoka tena mbele ya wageni,hii ni aibu...
Nape hauwezi muziki wa LISSU ,na kwa namna yeyote,huwezi kuwalinganisha.Kuhusu ni muda gani anawatembelea wapiga kura wake yakuhusu nini wewe?kazi ya ngoswe mwachie ngoswe,we isubirie kesho.
Mi nafkir Vasco daGama alichemka kumstop J-iro peke yke,alipaswa kuagiza wote waloshrk mapokez na kuacha majukumu ya msingi wawajibishwe mara moja,lakini pia hyo ngeleja anapaswa kutupwa nje ya ofc now as toka amekuwa wzr hana la kujivunia alilolifaoya zaid ya usanii mtupu.
suala la madiwani Arusha hakika ni tete na sio jepesi kias hcho serikali inavyofikiri.Serikali kwa kuwa inaonekana kuvutiwa na madiwn hao waitishe uchaguz na wawasimamishe madiwn hao kama wagombea wao.Watu wa Arusha wanaelewa na hawadanganyiki ng'o
ktk mawaziri walofanya vbya:1.NGELEJA-Tatzo la umeme lililopo had ssa ni hstori mbya kwa nchi.2.Celina komban-kaonesha wazi kuwa kapewa wizara ya katba na sheria kama hisani tu.Hajui a.b,c za sheria.na kama co ungangar wa wanaharakati hata huu mchakato wa katiba ucngekuwepo..50%ya wbnge wa ccm...
Nimejaribu kucheki vyombo vya habari hivyo cku ambako viongozi wa cdm walifika arusha na kufanya mkutano kuhusu maamuzi ya kamati kuu ya kuwafukuza madiwani watano.Vyombo vya habari ambavyo vilipata ujasiri wa kuandika yaliyojiri ni magazeti tu,kulikoni?
Je huu kweli haukuwa ni mpango wa...
suala la msingi tu wajue kwamba kujionesha kwenye TBC hakutoshi kumsafisha NGELEJA,amechafuka na alitakiwa nae apishe nafasi kwani haiwezekani katibu mkuu akakusanya kiasi kikubwa hivyo cha fedha bila idhini yake,na kama hakuwa na taarifa basi hii inadhihirisha wazi kuwa hata katibu mkuu wake...
Kama ni tarajio la cdm kufanya vema ktk uchaguzi ujao na hata chaguzi ndogo zinazojitokeza kama jimbo la igunga lililowazi kwa sasa,basi viongozi wa ngazi ya taifa msikurupuke kaeni na madiwani Arusha kujua kiini cha tatizo na kutafuta solution,otherwise mtakuwa mnatengeneza mwanya wa kushindwa...
jamiani kina lowassa nchi hii tunao wengi kwanini tunamkariri wa monduli,ambaye tumeshampa nafasi akaitumia visivyo,huu ni wakati wa kina lowassa wengine kupewa nafasi,naamini wapo wenye uwezo wa kufanya makubwa zaidi ya hayo,tatizo hatujawapa tu nafasi.
hili ni jema sana kwa cdm,na ni ishara tosha kuwa cdm sasa inatanuka nje ya mipaka ya nchi,lakini zaidi sana ni kuwa hii ni ishara nyingine nzuri kuwa cdm inatambulika na harakati zake zinakubalika hata na mataifa mengine,kwanini wasiwasaidie vijana wa sisiem?WANAJUA mtoto wa nyoka ni nyoka
katika kipindi hiki ambacho tunapambana kuutafuta uhuru wa kweli katika nchi yetu,uwanja wowote unaweza kuwa wa mapambano,hongera lema kwa kuitumia fursa kikamilifu,sio katika mikutano ya kisiasa tu ndipo ambapo wanachama hutafutwa.big up lema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.