utaendaje wakati ubongo wako hauhitaji challenge!!! kila siku unapenda kuona na kusikia mambo yanayoendana na mawazo yako mgando,
kwa mtu kama we ni rahisi hata kuvitabiri vituo vya TV unavyoangalia na magazeti unayosoma... mwisho wa siku unakuwa hijui kweli na unabaki kuwa mtumwa wa fikra...
Tanzania,tanzaniaaa...nakupenda kwa moyo woteeeeeee.
tayarisha silaha yako kaka ili kuwaangamiza waislamu wote ndani ya TZ.. ukishatumaliza,, utakuja kugundua kumbe hata ninyi sio wamoja bali kuna katholic,lutheran, anglican e.t.c. na mwisho wa siku utataka ubaki wewe peke yako katika tz yetu.
maandishi ya bluu... imba kwa nguvu zako zote..""""" tazama ramani utaona nchi nzuriiiiii,yene mito na mabonde mengi ya nafakaaaaaa"""""
maamdishi mekundu.......''nenda klabu kila siku za mwisho wa wiki uone waTZ wanavyopenda kula bata.. cha ajabu nini????""""
maandishi ya kijani''''''''''''''...
nafurahi kuwa zile hoja zinazostahili kujadiliwa na watu wenye hadhi ya forum hii zimeanza kujitokeza tena na kwa kweli zinachokonoa bongo na fikra za watu hadi inatia msisimko.
kuna ushahidi wa wazi kuwa kuna vipande vya historia vimezuiwa ama kupotoshwa kwa makusudi(sielewi ni kwa maslahi ya...
hayo maandishi MEKUNDU ni kiashiria cha hatari. na viashiria hivyo ndio vinavyoicost CDM na ofcourse ndio kaburi la CDM. wenye akili zao ndani ya CDM wameshaanza kuchukua hatua ya kubadilisha mfumo ,mtazamo na hata mtindo wa chama katika kufikia malengo.Ila walikokosea ni hapa tuuuuuu:- HATUA...
Kwani watz mna maana???
nikikumbuka mlivyokuwa mnamshangilia nyerere na kumkashifu Mwinyi kipindi cha utawala wa awamu ya pili!!! na nikikumbuka jinsi mlivyokuwa mnamshangilia MWINY na kumtukana MKAPA kipindi cha utawala awamu ya tatu na mnavyoMSHANGILIA MKAPA na kumkashifu KIKWETWE kwenye...
UMESAHAU YAFUATAYO
11.udini uliokithiri
12. ukabila wa waziwazi
13. uchochezi na uvunjifu wa amani na
14. uzushi na uongo wenye mrengo wa kuandaa mazingira ya kupata uungwaji mkono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.