Kuna maswali nahisi huwa yanaweza kukosa majibu ! tunapolalamika kuhusu ubovu wa miundombinu ya barabara hususani hapa jijini Dar es salaam na zaidi kipindi hiki cha mvua. Barabara nyingi zinapata mashimo na pengine kuharibika kabisa na kulazimika kutumia pesa zetu walipa kodi kuzikarabati mara...
Habarini wana JF, kuna tetesi kuwa Jeshi la Wananchi Wa Tanzania (JWTZ) limekua miongoni mwa Majeshi Bora 30 Duniani, Kuna mwenye uthibitisho katika hili!!! na kama ni 30 kwa Afrika ama Dunia mzima Pia Msaada tafadhali ni vizuri taarifa nzuri kama hizi tukiwa tunazijua kwani ni sehemu ya sisi...
of course sasa hivi tupo kitaifa zaidi sio kivyama target ni kuona Mama Tanzania inasonga mbele, najua haiwezi fikia hatua tukalingana vipato lakini kutopishana kwa kiwango kilichopo sasa cha umiliki wa ardhi, mapato na kuongezeka kwa ( per capital income) imbayo inaweza kuwa angalau afadhali na...
Ameongea kamanda mpya Mkoa Mwanza jana kwamba hakuna sababu ya kuwajeruhi maana wao lengo ni kukuua wewe ukicheka nao itakula kwako ua alafu taratibu zingine zitafuata lakini unajua ushapunguza,,,,, Hawa hawana uzuri wowote yaan ..... Mungu aendelee kuwasaidia aisee maana hata mishahara na...
umenena Vyema kiongozi kuna watu hawaoni kwamba zaidi ya Milioni 300 zilikua zinateketea kwa watendaji hewa na mpaka jana kulikua na ongezeko na kufikia watumishi hewa 102 kwa wilaya zote za shinyanga. Sasa sijajua kutoa kuambiwa hakuna mpaka 100+ still tunaambiwa tunyamaze ili kesho waseme...
kazi ya kuwafukuza wasaidizi wa Mkuu wa Mkoa ilipaswa ifanywe na mkuu wa Mkoa mwenyewe baada ya kugundua alichopewa sio sahihi badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kutangaza kwa unabe, Ukaguzi wa watumishi hewa ni kazi kubwa waliyokabidhiwa wakuu wa mikoa na Raisi mwenyewe kama...
Mkuu hiyo ilikua iwe kazi ya Mkuu wa mkoa kuhaikiki taarifa anazopewa na watendaji na kuwachukulia hatua endapo atabaini zipo kinyume kiutekelezwaji Nadhani upate wasaha wa kusikiliza alicho kisema Anna Kilango siku anakanusha kuhusu kutokua na watendaji hewa ........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.