Nani kasema hakuna taa? Zipo ila alopost anataka ku portray kuwa zimewekwa kwenye barabara ya vumbi. Huu ni uongo ambao kama kweli umepita na ukawa makini picha hii imechezewa. Nipo Chato kwa zaidi ya miezi mitatu sasa. Nipo, sijapita
Aliyewasamehe ni Zito au kamati ya madiwani? Mbona maamuzi ya wengi tunayafanya yaonekane ni ya mtu mmoja? Kama Zito aliwaburuza madiwani wote basi mliokota magalasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.