Wewe unafikra mgando sana,huyo kigogo baba yako aliyepo CCM asikupe kiburi hayo maisha mazuri uliyo nayo kwa kuiba mali za watanzania zisiwape kiburi nyie watoto wa CCM na hawo baba zetu wanadhurumu maliasili za watanzania.
Kikubwa ambacho mmeanza kulaaniwa na MUNGU kwa dhurma mnayoifanya kwa...
Mbowe na dr Slaa na Tindu Lussu wamekamatwa kituoni,ila watu wamegoma kufanya kazi leo na hakuna usafiri na watu wameanza kujikusanya tena uwanjani,Mungu tubariki CHADEMA,wao CCM wana pesa na polisi na mafisadi,sisi CHADEMA tuna MUNGU anayetulinda.
Hawa CCM wamechokwa na watu na huku Arusha ndiyo hawakubariki kabisa wanajaribu kulazimisha tu,hao polisi wanaowatumia na mafisadi kuzuia nguvu ya uma hawatafanikiwa.
VIVA CHDEMA, FREEDOM IS COMING
Wanaarusha tupo pamoja na nyie sisi tuliopo mikoani,dhuruma ya CCM inatosha,wao na watoto wao wanaishi maisha mazuri sisi tunaishi vibaya,tuendelee na mapambano muda wote kupinga dhuruma hii ya mkoloni mweusi CCM.
Tupo pamoja wana Arusha ktk ukombozi wa kumtoa mkoloni mweusi CCM madarakani,hawa watoto wa vigogo wa CCM waliotumwa Jf kuja kuandika ujinga mwisho wao umefika.
Wewe unafikra mgando kweli,unawaza kwa kutumia makamasi badala ya ubongo akili umefungia kabatini,hua tena uwezo wa kufikiri hivi huoni dhuruma inayofanywa na serikali yako ya mkoloni mweusi CCM dhidi ya wabunge wa CHADEMA na wananchi kwa ujumla,maisha magumu,kazi hakuna,vyakula vimepanda dola...
Hakika ukombozi umefika Tanzania,dhuruma inayofanywa na serikali ya CCM isiyokuwa na nyuma wala mbele dhidi ya wananchi haikubaliki,ajira hakuna,dola imepanda huku dhamani ya hela yetu imeshuka,mafuta yamepanda,vyakula vimepanda,CCM inatuangamiza kisa wao wanamafisadi,pesa,polisi,ila Mungu...
Wewe ni zao la CCM na nikijana wa Nape ukiwa kazini haya nenda kachukue posho baada ya kuwa umemaliza kazi uliyotumwa,mbona Chadema walifanya mandamano kupinga kupanda kwa vitu mbona hukusifia hilo na wala hukuwaunga mkono kwa njia yoyote ile.Shame of you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.