Familia ya mchungaji Obedi kimati inavurugana kisa mashamba alio acha baba Yao baada ya kufariki wameshindwa kugawana kutokana na tamaa ya mkubwa mmoja kuyatawala yye peke yake na kutotaka wengine wadogo wapate mashamba hayo, jambo la hatari hili Kwa mtazamo wakawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.