Yaani mkeo hajaitika salamu mwanaume mzima unaenda kumsimulia mzazi wako???????
Mwambie hapo hana mume ana ushumbwanda tu
Halafu hakuwepo kwenye kikao kilichopita cha wanawake? Si makubaliano yalikuwa marufuku kuwa na mwanaume mmoja? Ona sasa......
Sasa kinachokufanya usiamini wanawake ni nini?
Kwani mlikubaliana wewe ndio.mwanaume wake.pekee?
Au mlikubaliana kuwa ukimnunulia simu wanaume.wengine hawawezi kumpigia?
Hiyo ni changamoto ndogo sana ya mapenzi, fanya ni hasara kama hasara nyingine
Mganga wa nini
Ina maana miaka yote 5 hatongozwi
Muda huu alitakiwa awe na mwanaume wa ukweli alomzidi mumewe hadi dhambi
Mwanamke u akuwaje na mwanaume mmoja? Baba yako huyo? Matokeo akiwa na mchepuko sugu unabaki kuwa single in marriage
Mwambie apoe mwanaume mwenginr...mwenye hela na...
Waambie hima
Kwani.kabla hujapata kazi matatizo yao walitatua vipi.
Sio kila.simu unaahidi
Tena ikikaribia mwisho wa mwenzi wewe anza kuwatumia msg za kuomba hela kuwa una matatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.