You can avoid the reality, but you cant avoid the consequences of avoiding the reality.
Mkuu, asante sana kwa uchambuzi wako yakinifu. Sasa watu wanaweza kuanza kuelewa kuwa kuelimika si kwa kupata tu elimu ile itolewayo madarasani{FORMAL}.
Mkuu Sizinga narudi tena kwasababu kuna dogo wajirani kaniomba ushauri baada ya kusikia nikisema haya mlo andika humu.
Matokeo yake yako hivi:-
Civ D
Hist D
Geo D
Kisw F
Engl F
Phy F
Chem D
Bio D
Agri D
B/Math F
yaani Division IV ya 29.
Sasa Mkuu...
Mwenye mawasiliano ya simu ya chuo hiki hapa chini naomba anisaidie.
CLINICAL OFFICER'S TRAINING CENTRE,
P.O.BOX 30,
IFAKARA,
MOROGORO.
Tafadhali sana ndugu zangu, naomba mnisaidie.
Mkuu naomba uniorodheshee baadhi ya vyu vinavyo toa Diploma ya Clinical officers vilivyopo ktk mikoa ya Arusha na Kilimanjaro pamoja na addresses za vyuo hivyo.
TAFADHALI NAOMBA MNISAIDIE!
Taarifa ambazo tumekuwa tukizipata huku mtaani wanasema ni lazima awe na D ya hesabu ili aweze kufanya mtihani wa kidato cha VI sasa sijui kama ni kweli?
Kwa upande wa pili kuna mtoto wa baba yangu mdogo, yeye alikuwa private candidate na ktk masomo yake alipata Div III ya 19;
Civ - C
Hist - A
Geo - B
Kisw - D
Engl - B
Lit Eng - B
B/Math - F
Je! Mkuu huyu dogo anaweza kusoma HGE? Maana anapenda sana kusoma...
Kwa kweli nimefarijika sana kuona kwamba wapo baadhi ya Watanzania wenye mioyo ya uzalendo na huruma ya kusaidia wengine.
Mkuu Sizinga nina mdogo wangu wa kike ambaye amepata div IV ya 26
Civics D
Hist D
Geo D
Kisw C
Engl D
Lit Eng C
Phy D
Chem D
Bio D...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.