Search results

  1. D

    Naombeni ufafanuzi wa fedha ya ruzuku mashuleni maana kuna kutofautiana juu ya waraka huu, nahitaji

    MATUMIZI YA RUZUKU YA UENDESHAJI(CAPITATION GRANTS) Serikali itaendelea kutuma 50% ya ruzuku mashuleni kwa ajili ya ununuzi wa vitabu vya kujifunzia na kufundishia. Utaratibu huu wa kupeleka sehemu ya fedha ya ruzuku ya uendeshaji moja kwa moja kutoka hazina kwenda shuleni unalenga kuondoa...
  2. D

    Naomba msaada mchanganuo wa ruzuku mashuleni (captation grant)

    Naomba msaada juu ya matumizi ya ruzuku(captation grants) 50% kutumika katika ununuzi wa vitabu vya kujifunzia na kufundishia, maana mkuu wa shule yetu anadai 50% ya ruzuku bado serikali haijatuma na hatujui ni lini pesa hiyo itatumwa. Je shuleni kwenu mnafanyaje maana tunaogopa matumizi mabaya...
  3. D

    Mwongozo juu ya matumizi ya ruzuku mashuleni(sekondary)

    Naomba msaada juu ya matumizi ya pesa ya ruzuku mashuleni, tunabishana juu ya ununuzi wa vitabu vya kufundishia na kujifunzia katika shule za sekondari, je hizi 50% za vitabu zimetumwa au tusubiri? Naomba msaada wenu
  4. D

    Maswali kwa CWT (nimeileta ilivyo)

    Kweli ndugu zangu ifikie wakati tuseme CWT basi maana bado inamnyonya mwalimu na hakuna faida kwasababu hatunufaiki nayo. Kama wangekuwa wanarejesha makato yetu pindi tunapostaafu basi cwt ingekuwa na maana
  5. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Buhigwe Kigoma, nije mbeya, Iringa, Njombe, morogoro wilaya yoyote katika hiyo mikoa nakuja.
  6. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Naitwa mwalimu Masebo, nipo Kigoma-Buhigwe, natafuta mtu wa kubadilishana nae atokee MBEYA, IRINGA, NJOMBE au mkoa Wa SONGWE. Kama upo tayari nitafute 0713189746 0755189746
  7. D

    Mkwawa, elimu bora bado ni tatizo.

    Matatizo mbalimbali yanachokikumba chuo kikuu kishiriki, MKWAWA(MUCE), JAMANI HAYA MATATIZO YATAISHA LINI? Ndugu wanajamii forum, tatizo la elimu bora kwa kila mtanzania ni Tatizo, kumbe hata vyuoni elimu bora haitolewi, hii ni kukosa sehemu za mihadhara kwa ajili ya wanachuo kusomea au...
  8. D

    Maandamano makubwa chuo kikuu mkwawa

    ndio anahusika coz anasimama kama mwakilish wa raisi mkoa
  9. D

    Maandamano makubwa chuo kikuu mkwawa

    Kuwa mstaarabu wewe umeona hapa 2naongozwa na chama cha majambaz au peoplez power?
  10. D

    Maandamano makubwa chuo kikuu mkwawa

    We mpumbavu? Au ulitaka mabomu na ffu wafanye kazi? Niupload picha ya tukio uone?
  11. D

    Maandamano makubwa chuo kikuu mkwawa

    Wanachuo wa mkwawa waandamana kushinikiza kupewa pesa zao za kujikimu(boom) baada ya kuchoka kusubiri takribani wiki moja. Wamevumilia wamechoka hivyo wameamua kwenda kusikilizwa kwa mkuu wa mkoa wa iringa ili kupata haki zao na kujua hatima yao. Maisha yamekuwa magumu hapa chuoni.MPAKA SASA...
Back
Top Bottom