Search results

  1. K

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Hapa tuna tatizo kubwa, nadhani viongozi waliopo madarakani Zanzibar wana nia ya kuuvunja Muungano.Katika siku za hivi karibuni kauli zinazotolewa na kuhusu Muungano zinaleta sura kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM juu ya Muungano na kwa bahati mbaya hakuna aliye tayari kukemea tabia hii. Mwl...
  2. K

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Mheshimiwa Pinda alinukuu katiba , hivyo Zanzibar si nchi japo ina serikali yake. Nionavyo suala la Muungano lijadiliwe kwa wanannchi kutoa maoni yao mfumo upi bora. Kama Zanzibar wanataka kuwa nchi basi mfumo wa Serikali tatu ndo muafaka yaani Tanganyika, Zanzibar na ile ya Muungano lakini pia...
  3. K

    Mafisadi Wakamatwe!-wasiruhusiwe Kuligawa Taifa!

    Hapo ndipo tatizo lilipo, tunaomba hao Takokuu wasikae tu chini wachunguze haya mambo na wahusika washitakiwe, wakishindwa kufanya hivyo siku itafika wananchi watachukua sheria mkononi, mbona hayo ya masaki ni madogo lakini ni dalili! tafadhali msitulazimishe kwenda huko, washitakini.
  4. K

    Mwenye ubavu anishtaki! - Yona

    Yap! Time will tell - Watanzania tusilegeze kamba vita ya kujikomboa toka makucha ya mafisadi iendelezwe kwa nguvu zaidi na waelewe siku zao zimefika!!!
  5. K

    Utekelezaji wa kutangaza mali za viongozi wa umma

    Mtaalamu wa sheria Chenge alijenga mazingira ya kujilinda yeye na mafisadi wenzake kwa sauti kubwa tupige kelele sheria hiyo ibadilishwe, orodha hizo zisiwe siri na zitangazwe!!
  6. K

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Mahangaiko ya nini? kadiri wanavyobwabwaja ndivyo wanavyoendelea kujianika. Sasa Yonah kasema anawajua Richmond (rejea mahojiano yake na TVT)huyu anahitaji kubanwa atueleze Richmond ni nani.
  7. K

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Hivi kama kina Rostam ndo wako CC ya CCM tutegemee nini toka chama hiki? na hiyo Sirikali yao Je!
  8. K

    Inatosha - Lowassa Jiuzulu!

    Suala lililopo mbele yetu ni pana, linagusa uadilifu wa viongozi wote katika taifa hili.Wananchi ni lazima tuamke tukatae hali hii ya kuwa na watu wanaoiba katika taasisi za umma na kisha kugombea uwakilishi wa wananchi.Kwa kuwa kipindi cha uchaguzi bado itabidi tujipange ili tuweze kutoa elimu...
  9. K

    The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Nashangaa hawa jamaa badala ya kuachia ngazi wanakaza nyuso kama Gumegume !!
  10. K

    Wafanyakazi Bulyanhulu kugoma

    Hongera ujumbe mtamu ila sijui kama unewafikia walengwa, yaani wafanyakazi na viongozi wao katika hivyo vyama vya wafanyakazi, watu bado wako kwenye enzi zile za uchumi dola, hivi sasa ni uchumi huria hivyo vyama vya wafanyakazi makini vyenye uongozi makini na ambavyo ni mali na vinatokana na...
  11. K

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    Tunatoa Pole kwa watanzania wote na hasa ndugu wa marehemu katika msiba huu, tuwakumbushe madereve kuwa makini wawapo barabarani na kufuata sheria za barabarani. Pia ni vyema madereva wakapata mafunzo sahihi yatakayoendana na kutahiniwa ili kujua viwango vya madereva. Polisi wa barabarani ni...
  12. K

    Nini Maana Ya Viongozi Kutoa Pesa Mifukoni Kwa Ajili Ya Maendeleo?

    Suala hapa ni kuwawezesha wananchi na pia kumobilise wananchi waweze kufanya shughuli zitakazoweza kuwaletea maendeleo na kujikwamua toka katika lindi la umaskini. Hawa wanaotoa fedha zao wanatia kichefuchefu kwani hawa si viongozi bora wala nchi hii haiwezi kuendelea kwa vihela vyao uchwara...
  13. K

    Tanzania Inakwenda Wapi? Chanjo kwa watoto hazipatikani, kodi zetu zinaenda wapi?

    Sasa ni wakati wa kuamka, watanzania tukatae upuuzi huu njia ni kuungana pamoja na kuiondoa hali hii kwa kuwaoondoa madarakani. Napendekeza kwa kuanza tuwe na maandamano ya amani kuwaoomba wang'atuke !!
Back
Top Bottom