Search results

  1. M

    self employement job post

    Let us be careful of these "triangle" games!!
  2. M

    self employement job post

    It is a quote of WISDOM!
  3. M

    self employement job post

    Let us be careful of these "triangle" games!!
  4. M

    Uzinduzi wa Leseni Kwa wahandisi waliosajiriwa

    Lazima wawe na impact kwenye jamii na sio kuwa majina tu Eng. so and so!
  5. M

    Where do you buy a laptop in Tanzania

    I think computers are tax free! The demand in Tz is so high nowadays! What are your price ranges??
  6. M

    utamtambuaje mwanamme anayetembea na msichana wa kazi(housegirl)

    Dalili kubwa kabisa ni House Girl kuanza dharau kwa Mother-house!!
  7. M

    Jina la mpenzi wa zamani layumbisha ndoa

    Hayo yanazungumzika tu! Haihitaji haraka!!
  8. M

    Wife amanichosha nataka kumtema lakini gharama !!-sina raha ya ndoa

    Mzee inategemea wewe ulimpendea kitu gani! Kwani from the beginning ingekuwa busara ku-balance kati ya mapenzi yako na huyo bibie na mustakhabali wa watoto! Inabidi tupunguze kidogo ubinafsi katika mazingira kama haya!
  9. M

    Us embassy na vioja vya baadhi ya wafanyakazi

    Du! Walikuwa waswahili au wazungu? Pole sana Ndugu, hiyo ndio indigenous rights tunazozitaka! Hilo ni tatizo letu sisi wenyewe tukipewa nafasi.
  10. M

    Mshahara huu kwenye kampuni ni haki?

    Inabidi urejee kwenye "Government notice No.172 ya 30.04.2010" yenye kichwa cha habari "Regulation of Wages and Terms of Employment Order,2010. Hapo utapata kima cha chini cha mshahara kwa sekta mbalimbali.
  11. M

    Vacancies for Civil Technicians-2 Posts

    TANROADS Kilimanjaro is looking mature, energetic and resourceful persons with Full Technician Certificate/Ordinary Diploma in Civil Engineering to fill the positions of CIVIL Technicians. Apply to: Regional Manager, TANROADS, P.O.Box 3051, MOSHI.
  12. M

    Mshahara ngazi ya stashahada

    katika dunia ya ushindani watu hawalipwi kwa ukubwa wa vyeti bali kwa "contribution" yako kwenye organisation!
  13. M

    Kama unatafuta kazi suluhisho lako lipo hapa-ba recruitment agency

    Ipo haja ya kujua physical address ya hawa jamaa! I doubt....
  14. M

    Ijue Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010 - 2015

    Ni muhimu kuzisoma hizi Ilani kwa makini kwa ndio check list ya kuwapima walio madarakani mwisho wa siku. Tuachane na ushabiki zaidi, nadhani utashi na ukomavu wa kisiasa ni muhimu zaidi.
  15. M

    Job Opportunity-HR Officer

    A fast growing Microfinance Institution is looking for a young, energetic,bussiness-focused individual who will assume a position of HR Strategic Partner. The position is based in Dar es Salaam and occassional trips outside Dar es Salaam. Interested candidates can send their CV via...
Back
Top Bottom