Mzee inategemea wewe ulimpendea kitu gani! Kwani from the beginning ingekuwa busara ku-balance kati ya mapenzi yako na huyo bibie na mustakhabali wa watoto! Inabidi tupunguze kidogo ubinafsi katika mazingira kama haya!
Inabidi urejee kwenye "Government notice No.172 ya 30.04.2010" yenye kichwa cha habari "Regulation of Wages and Terms of Employment Order,2010. Hapo utapata kima cha chini cha mshahara kwa sekta mbalimbali.
TANROADS Kilimanjaro is looking mature, energetic and resourceful persons with Full Technician Certificate/Ordinary Diploma in Civil Engineering to fill the positions of CIVIL Technicians.
Apply to: Regional Manager,
TANROADS,
P.O.Box 3051,
MOSHI.
Ni muhimu kuzisoma hizi Ilani kwa makini kwa ndio check list ya kuwapima walio madarakani mwisho wa siku. Tuachane na ushabiki zaidi, nadhani utashi na ukomavu wa kisiasa ni muhimu zaidi.
A fast growing Microfinance Institution is looking for a young, energetic,bussiness-focused individual who will assume a position of HR Strategic Partner. The position is based in Dar es Salaam and occassional trips outside Dar es Salaam.
Interested candidates can send their CV via...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.