Wanachezea Tanzania! Ya leo siyo ya jana,watu wameamka hivi sasa;
Ningemshauri Bwana mdogo Jakaya Kikwete,avunje baraza lote la mawaziri na kuunda baraza dogo la kumalizia kipindi cha MPITO cha uongozi wa C C M madarakani.
Kweli TANZANIA KUNANUKAAAAAAA!zanyumbani kikwete a.k.a baba rizimoja anakula sappa kwa malkia,breakfast kwa "morroco"sory!i mean kwa cammeron,miguu anatawadhia kwa angela mekhel,kwani kuishi marekani kunawakera nin?DUNIA NI Kijiji!anawatumikia watz kiukamilifu,tofauti na ivyo asingepata...
Toeni hoja zenye nguvu,vile vile tusiwe wakosoaji kwa mtu aliye omba kufahamu kitu au jambo fulani,
tuelimshane,na kama haufahamu kuhusu hoja ama swala alilo ongelea mwingine,sidhani kama ni busara kuvuruga lengo la mhusika.
Kuhusiana na gadaf kuongea lugha ya kiswahili!hakuna ukweli ndani yake.
HUYU KIGAMBA NAPE AMEKUA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI?Ona sasa hata TANZAGIZA amecop na kupest,sasa yakija matokeo tofauti utaliweka wapi sura lako wewe KIGAMBA CHA MNAUYE!
Wana angalia michoro mbali mbali au wengi waliokua wafuasi wa hayati YAHAYA HUSEN, Aikua anatoa picha akisema ndivyo alivyo LUSIFA.
Hivyo basi anaye kwambia jambo akiwa na uhakika nalo analifaham
Huyo anaye jigeuza pamoja na wamao fuatilia masuala ya nyota,kama alivyokua hayati YAHAYA!Ni...
Unapo zungumzia nchi zilizokua mstari wa mbele kutaka uhuru wa nchi za kiafrika,hautakosea ukitaja TANZANIA.
Katika nchi za kusini,mashariki na kati mwa AFRIKA,Ilipasa nchi kama tanzania iwe mstari wa mbele katika maswala kama ifuatavyo;
1)kiuchumi,kwasababu tunarasilimali za kila aina...
Angetangaza kujinyonga pindi jimbo la IGUNGA litakapo chukuliwa na CHADEMA,kwani si wakati mrefu sana.
Lakini naamini huyo ZOMBIE kwa mabaya na dhuluma ya roho za watu,mwenyezi mungu hata mwacha mpaka aione CHADEMA ikichukua DOLA!
Hukumu ya wadhalimu hudhihirika mara,na majibu ni hapahapa chini...
Angetangaza kujinyonga pindi jimbo la IGUNGA litakapo chukuliwa na CHADEMA,kwani si wakati mrefu sana.
Lakini naamini huyo ZOMBIE kwa mabaya na dhuluma ya roho za watu,mwenyezi mungu hata mwacha mpaka aione CHADEMA ikichukua DOLA!
Hukumu ya wadhalimu hudhihirika mara,na majibu ni hapahapa chini...
Siku zinakuja,nyakati zimekaribia!naam zimekwishafika,kilichobaki nikuchukua hatua nzito kwa hawa WAPUMBAFU wachache ili kusudi tuishi kwakuheshimiana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.