Mimi naona sio kipaumbele kabisa, kwani kuna nini cha kutugharimu kiasi hicho, Zanzibar ya watu milioni moja! Kuna mikoa ina watu 3m lakini haijaunganishwa kwa barabara za lami na mikoa mingine.
Ukweli ni kwamba Magu alipora fedha hazina, na kwa matajiri na alizitumia katika siasa zake na katika miradi mingi nyumbani kwake au kufidia upotevu mkubwa uliojitokeza kwasababu ya matumizi mabovu ya fedha za umma!
Inauma sana mambo mengi nchi yanaamuliwa na wanasiasa wasiojua ukweli wa mambo na wageni kutoka nje wanapenda mno hali hii manake wanapiga hela hadi wanafurahi. Unaona Mwendokasi Dar, tuna miundombinu lakini usafiri Dar bado ni wa shida kubwa inabidi uwe na uwezo mkubwa wa kusukumana na watu ili...
Ni vizuri sana anavyofanya Nchimbi kumpinga Makonda kwani huyu bwana akili zake ni mbovu kabisa na wote wananwona anafaa akili zao pia ni mbovu kabisa.
Hawa ndio washirikina wakatili na wakabila. Wauza ngozi za binadamu wenzao, watu wenye wivu mkubwa. Kila familia ina kanisa lake, hawezi kukaa pamoja hawa ni akina Mwamposa manabii wa uongo. Ulienda mbeya gani?
Huo uchawi wa kuoza polepole hadi kufa upo na mzee mwenyewe anahusika. Kuweni makini kuna mtu kati yenu anapaswa kurithi huo ushenzi. Wewe kama unanielewa usikubali kamwe kushiriki hizo mila au matambiko mizimu itakuandama. Lakini hata hivyo ukoo wenu ni wachawi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.