Katika hili NATOFAUTIANA NA MEMBE.
Ni sawa na sisi wakati ule kushambuliwa na Idi Amin halafu kuishia mpakanni Kyaka.
Kung'oa mzizi wa fitna piga hao Al Shabab mpaka Mogadishu ili wasirudi tena kiurahisi.
Tunashindwa kuelewa mantiki ya msimamo huu kwa sababu hawa wasomali wanakuja kuteka nyara...
Jumuiya ya Madola inakosa relevance kwa siku za karibuni.
Kama kinachotuunganisha katika hiyi jumuiya ni Uingereza , na Uingereza ni mashoga na inelekea ni utamaduni wao.
Sisi tuliokuwa makoloni ya Uingereza SI mashoga wala hatuelekei kukubaliana na hilo kwa vile kimsingi ni tabia ya kishenzi...
Leo asubuhi nimeshuhudia kitenda kisicho cha kiungwana kabisa kilchofanywa na dereva wa gari aina ya Toyota Prado (old model mayai) Rangi dark blue au nyeusi , yenye maadishi PRADO ubavuni.
Gari hili lilikuwa linatanua kwa kuovateki foleni ndefu sana sehemu za Kawe karibu na roundabout.
Polisi...
Lazima tumuunge mkono JK kwa hili, washenzi hawa wanatudhalilisha.
Mtu mshenzi ni yule asiye na utamaduni unaokubalika katika jamii, hili la waingereza linazidi hapo.
Vituo vya redio vinakamuliwa $2000 kila mwaka,kwa kila kituo.
Haya ndiyo matumizi yake?
Kuliwa na wajumbe wa Bodi?
Hizi regulatory authorities zimeshakuwa kero, zina wakamua "cuatomers" wake ili waweze kutumbua.
Zis iz too much
Katika magazeti karibu yote leo 2/11/2011 yana habari nzito za serikali kudaiwa na makandarasi kiasi cha Tshs 425billion kwa miradi ambayo kimsingi ni "hewa".
"Hewa" hii imetokana vipi?
Hii hewa ni ahadi lukuki zizotolewa kabla tu ya uchguzi wa mwaka 2010.Miradi hiyo ilibuniwa na aliyekuwa bosi...
Nimeikuta hii mitaa ya Mikocheni, Mtaa wa Sam Nujaoma(karibu na kiwanda cha Coca cola).
Gari kubwa lilosheheni zigo la kutosha, badala ya kuongoza zake Morogoro rodi aende zake Zambia au Malawi , dereva kaamua kukata mitaa.
Matokeo gari limeshindwa kukata kona na kuzimika, hatimaye kuziba...
Kuna kazi ambazo only seniority warrants merit.
Sina uhakika na umri wa mama huyu lakini she is too young, much too young to head this institution yenye matatizo mengi.
Kazi kama za udaktari, uhandisi na zenye proffessional touch kuna mabomu yanayojitokeza kutokana na experience ambayo huyu mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.