Ha ha ha ha ha............ Maandamano ya kuvunja Muungano yanaanzia msikitini, hii kali teh teh teh teh teh teh.......... kwa maana hiyo wanataka kuitupia lawama CDM kwamba wao ndiyo chanzo. Yetu macho na masikio. Wameona wamekosa misaada ya Gaddaffi sasa wameamua kulianzisha. Poleni sana...
Ha ha ha ha ha ha ha ha ...... Mkuu hapo kwenye Red umeniacha hoi sana, yaani nimecheka sinambavu. Timu yenyewe inaongozwa na Mbunge wa Magamba tena alisaidiwa na JK kuupata huo ubunge baada ya kumtoa kifungoni. Lazima atoe shukrani kwa mfadhili wake. Simba ni wajinga sana, wataendelea kufungwa...
Heri mimi Mbunge wangu hajachangia huu mswada legelege wa Katiba. Yeye mwenyewe anajua kabisa jinsi wapigakura wake tusivyolea ujinga, ilikuwa tunamwita kisha kinaota palepale, akikaidi tunamfanya kama yule wa Arumeru, mwaka mzima hakanyagi bungeni na akifanya mchezo Ibilisi anavuna wajawake! te...
Fanyeni jambo moja la msingi. Kama kweli ameyasema haya, mwandikieni barua ya kumuita aje jimboni kuwepo na mkutano wa hadhara kisha muulizeni ni lini alikusanya hayo maoni kwa wanakaragwe. Yawezekana alitumia wenyeviti kwa siri bila watu kujua.
Awape polisi kila mmoja awe na nakala yake mimi sihitaji, mbona haongelei ukatili na mauaji ya raia unaofanywa na jeshi la polisi, mfano polisi kuiba maiti motuary na kuzitupa barabarani.
Hebu tueleze kama Kombani alikuwa anatabasamu, kwa maana ninamfahamu hajui kutofautisha KUCHEKA na KUTABASAMU. hupenda kuonyesha mwanya alionao wakati hajuikuwa hilo ni pengo.
CCM na CUF kwa kweli hawana jipya, nilimsikia mchangiaji wa CUF aliyehongwa helcopter wakati wa uchaguzi Igunga, jinsi alivyokuwa na mapenzi na CCM mwanzo hadi Mwisho ni kukashifu CDM tu.
Wabunge wote kwa sasa hivi hawajadili mapungufu ya mswada huo isipokuwa ni kuwashambulia Waheshimiwa...
Mkuu pole na kitabu, umekosa uhondo wa Mh. Machali, kawafunika Wabunge wote wa CCM walichangia mswada huo leo. Ila usihofu Darasa ni muhimu ili usijeukawa Dent wa KUDESA na paper.
Sina uhakika kama huyu ni Mtanzania. Kwajinsi hii wakazi wa Tabora Mjini inabidi wajitafakari, hivi walifurahishwa na nini mpaka wakamchagua huyu Msomali anayetukana Watanzania. Kwa kweli sina uhakika kama huyu jamaa ATARUDI TENA BUNGENI 2015 sina uhakika. Wakazi wa Tabora kazi mnayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.