Kuna kaka nilikutana naye facebook, tukapeana namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri mpaka sasa tumefikisha mwaka mmoja. Wakati nikitafakari undani wa upendo wetu ikaonesha ya kuwa mkaka hana mapenzi yakweli kwani alinipatia information za uongo.
1. hakuwa mpenzi name kuwa chaguo lake la...
Kuna kaka nilikutana naye facebook, tukapeana namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri mpaka sasa tumefikisha mwaka mmoja. Wakati nikitafakari undani wa upendo wetu ikaonesha ya kuwa mkaka hana mapenzi yakweli kwani alinipatia information za Uongo.
1. hakuwa na mpenzi name kuwa chaguo lake la...
Kimsing ni kwamba lazima utambue ya kuwa, mwanaume ukamzidi msichana hata miaka mitatu lakin suala la kuwa na umri sawa lazima litareta utata kwan yeye atakuwa mkubwa kwako tena tayari anaudhoefu mkubwa kimaisha na hata mazingira ya kazin
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati nzuri tayari yuko kazin kwa miaka mitatu, ni mwalim wa shule ya msingi. ......tatizo langu mm ni...
am looking for a girl friend who have 19-23 years, no matter what level of education she have..
aiming for charting and changing ideas.. i will be much happy a day i get that friend..
WAZAZI, in wezekaje mtu ambaye mm ndiye nayeoa au kuolewa mnitafutie? hapana jamani hii tabia ningependa tuikomeshe kwan inatuambisha na tuishi kwa wasiwasi je wadau mnasemaje iendeleeee au istopishwe
Mm ni ss ninasoma chuo kikuu cha dodoma mwaka wa tatu ba-education.. Kwa muda mwingi nilikuwa nikilelewa na kaka yangu ila by this moment i need to see my mum because mum ndiye mwenye kufahamu how much pain gained bcz of me..
kweli jamani hivi kwanin mtu unayempenda anakupotezea wakat wewe ndio umekufa ukaoza. je wenzangu jambo hili mnalionaje kwan linaumiza sana mpaka mim huwa nakosa hata tumain la kuwa na mtu ni mpendaye katika maisha ya kila siku ili ikizewekana basi tufunge ndoa na mungu abariki maisha yetu ya...
kuna binti ambaye mimi nampenda sana tangia nipo A-Level 2007/2009 tena tulikuwa na malengo ya kuishi pamoja,, kimsingi i do love her up to now but thing make unbelievable is that once i do request my love to come and be together for a time she do reject my request what she do like is just to...
HIVI JAMANI INA KUWA JE WANAFUNZI WA UNIVERSITY OF DODOMA (Mchepuo wa Sayansi ya Jamii, Sayansi ya Asili) Kutopewa nafsi ya kufanya mafunzo ya vitendo(FIELD) ile hali kuwa ni vigumu kupata ajira bila ya kuwa na uzoefu wa kazi..... vip vijana wenzangu kuhusu hill hali na je ni aina gani ya...
nilikuwa na mpenzi wangu tangia niasoma kidato cha sita, hadi leo nipochuo kikuu dodoma mwaka wa pili tena nilimpenda sana lakini kuna kama siku tatu zimepita tangua aliponitamkia kuwa MIPANGO SI MATUMIZI , Ndiyo maana akashindwe kunidhirishia kuwa we can live togather in our life as father and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.