kwa mapenzi ya mhe. J.K kwani anagawa madaraka kama pipi hajali una uwezo ngani, unakubalika au laa, ni moja ya dhalili ya vongozi wavivu kufikiri na kufanya maamuzi sahihi!
nmevutiwa na hii taarifa! naomba nipe inform za kutosha kuna barabara?,maji , umeme umeshafika? kuna umbali ngani kutoka Tanga mjini. pls im serious nitumie kwenye e-mail yangu j.maruma@hotmail.com. Fanya hima ndungu
"Chadema kwa kuendelea kudhihirisha ni watu wa fujo, makada wao wanaonekana kutumwa na mtandao wa mamlaka ya chama, walimvamia na kumpiga kisha kumwagia tindikali kada wa CCM" Uhuru.wanaweza kuthibitisha hii kauli ! jamani vyanzo vingine vya habari viko mikononi mwa mbumbumbu kwani hili...
Baada ya kuona kundi la watu wapatao 10 wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali nyingi zikewa ni kejeli kwa ccm vijana wanaitwa green brigade waliwavamia watu na kuwanyanganya mabango yao na mengine kuchanwa kama inavyoonekana kwenye picha. Sasa swali ni je ccm inajua misingi ya...
Top 100 things that attract women to men 1. Clear, beautiful and healthy looking eyes. Eyes provide an insight on the level of health of the individual, and healthy eyes indicate a healthy mate. It was also surveyed as the most attractive feature according to various womens magazines...
sio dicteta ila hajitambui na hajui anachofanya zaidi ya kujichekesha na kusafirisafiri sasa ana maana kweli! mbona hajaorodhesha faida tulizopata kutokana na safari zake na sh. ngapi ametumia hata ziara za kawaida za mawaziri lazima naye yupo na watu kibao
watz tunadanganywa na kile wanachokiita amani japo kwangu mimi hakuna amani kwa maskini kwani anawindwa na maradhi, njaa, tabu na frustration za kila siku. Ndugu zangu watz tuamke sasa tumuondoe huyu Vasco Da Gama wetu tuweke rais anayejua umuhimu wa kutulia na kutatua kwa busara matatizo...
inakadiriwa walikuwa watu 108 kutoka Tumaini university smmuco waliopewakadi na mhe. Nape . Ajabu hakuna hata mmoja aliyerudisha kadi. Sasa wanaJF kazi kwenu angalieni ndugu zenu wanachofanya. Tunafangia wenyewe wanachafua
Nape alipokuwa Himo aliwapa kadi wanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini wapatao 108 lakini cha ajabu hakuna hata mmoja aliyerudisha kadi, japo wengine kama 40 wanatambulika ni wanaCHADEMA damu! Sasa cjui ni maigizo anafanya huyu bwana mkubwa au ndio upepo wa siasa. Machine inasumbua kidogo ila...
Mh. wa propaganda leo kwa kutana na kimbembe baada ya wakazi wa Moshi kumpokea na mabango ya kejeli juu ya CCM kwa mfano bango moja lliandikwa "CCM NI YA NYERERE IMEZEEKA""HATUTAKI KUVUA GAMBA TUNATAKA UMEME"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.