Naona nimeparamia post ya watu si unajua ugeni tena. Ila na sisi vimada tunafua Paulina . Ndicho nilichotaka kukwambia sasa sijujajua kutumia JF vizuri.
Asanteni kwa ushauri. Nitaufanyia kazi. Ila kumbukeni kuwa huyu mwanaume ni muislamu kwa hiyo nilijua fika kuwa atanioa. Na mara kwa mara alikuwa anaamia kwangu na kukaa hata siku mbili hivyo niliona kama hamna jinsi ya yeye kunitema. Nitajitahidi kumsahau.
Habari zenu wana Jamii Forum. Mimi ni mgeni humu. Ila si mgeni ki hivyo nimekuwa natembelea bila kuwa member. Nimeamua kujiunga ili nipate kushauriwa kwani shida niliyonayo siwezi kushare na mtu ninaye mjua.
Mimi ni mdada wa miaka 32. Ni mrembo sana yaani wale mnaoita 8 figure. Sijisifii ila...
Baba pia ni muhimu. Mimi nilijua huu ni mziki kwa ajili ya lovers, 'god must have spent little more time on you?' nilidhani ina maana binti kaumbika. Sasa video imekuwa tofauti. Asante Nyumba Kubwa hawa wanamuziki nawazimia sana. Si hawa kina sijui JZee hamna kitu, kufoka tu. Afu ilo jina na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.