siasa hizi zimepitwa na wakati bwana Nape,zilifanywa na Mahita na visu vyake vya kariakoo dhidi ya CUF so i wonder u comeup with the same old trick what we need are solutions of our problems not dirty politics u used to play in ur weak ccm!
nafikiri neno dhihaka halina mantiki apo na kama uzalendo juu ya raisi wetu sio kwa hili kwa sababu ni kweli tupu na kama ukweli huo kwenye the east african ni dhihaka kwako basi sijui utauitaje uchambuzi wa mwanahalisi juu ya raisi huyu ambaye huku mtaani kwetu tunamwita vasco da gama kwa trips...
kuna vitu vingine vinakuwa kama culture hivi hasa hii tabia ya kujadili watu badala ya hoja and u cn prov here,stl people duin the same thing!truly ushabiki haufai na hauwasaidii watanzania so tujenge kweli hoja tuliendeleze hili taifa kama wafanyavyo akina shivji badala ya kuwa makuwadi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.