we kilaza kwelikweli, yaani dah unajiaibisha, sasa haapo ndo umeongea nini? weka cheti chako hapa na mimi niweke changu halafu watu watwambie nani mjinga ? au Mod naomba tutungie mtihani wa kutest upeo mimi na huyu mnywa pombe ya mnazi hapa halafu nimweke begani ndo ataniheshimu
we umesoma mpaka kiwango gani cha elimu? mbona unaongea pumba? hivi una nini wewe? umeambiwa hapa hatujadili picha bali hoja ya kubenea kununuliwa , we vipi bhana?
Naomba nikupongeze Mpayukaji hapo kisu kimegonga kwenye mfupa duuh! ni ukweli mtupu kuwa hizo tindikali alimwagiwa kwa kutembea na mke wa mtu tena very true alikuwa anafanya kazi Bakhressa company(jina nalihifadhi) na hii ndiyo sababu hawezi kuwataja hao anaosema walimwagia tindikali, pia huyu...
Kwa kiongozi wa chama wa hadhi yako unapofanya mambo kama "hamnazo" lazima sisi wenye akili timamu tukuonye look hebu mkuu fungua akili yako ili iweze kusikia, kuchambua na kuelewa.
Mwishoni nikupe onyo kali kuwa usikariri kuwa ni lazima ukanushe kila kitu kama unavyojaribu kufanya hapa...
ndo umeongea nini wewe? nilikuwa nakuheshimu ila hapa umeniangusha sana! umeongea pumba kwelikweli, sisi tunachekwa hawa niggaz na baadhi ya wazungu wanatwambia we are doomed kuweka ofisi za chama tawala(kinawakilisha Tanzania nzima) kwenye car wash
kazi kwelikweli, amekuja kushangaa maghorofa tu, atasoma nini? wakati anasema kuwa ameyapinga maisha kwa mbele si unamwona kitambi kinaongezeka tu, we hujui eenh kuwa hizi trip kila moja anakomba mkwanja wa posho TZS 2millions
acha kutudhalilisha wewe , wengine tumekuja kikazi hapa USA tena so kazi unazosema wewe hizo, nipe email yako na contacts zako niwaambie waajiri wangu kuwa uje kama relative wewe na my wife na watoto kwenye annual visit mwisho wa mwaka, nitakutumia na viza, ingawa sibishi kuna baadhi ya wabongo...
Sasa haya ni matusi lazima hatua kali zichukuliwe dhidi ya Nape Nauye kwa kitendo cha kutudhalilisha watz wa hapa Us na huko bongo, eti kaenda Huoston(wabongo kibao) kufungua matawi ya chama tawala(CCM) huku wamarekani wanatushangaa iweje ofisi iwe kwenye car wash? au vituo vya kulelea wazee? na...
Topic InformationUsers Browsing this TopicThere are currently 86 users browsing this thread. (21 members and 65 guests)
Hoja Kwa Hoja
Mag3
Mwalu
Mzee2011
kamavipi
mussamhando
Mulugwanza
Mzee Mwanakijiji
Kiluvya2011
prince Jonathan
Jombi Jombii
muchetz
Noti mpya tz
Mwafrika Halisi
FARAGY...
Hoja yako hapo ni nini? we vipi bhana? we ni sokwe au kima, ukipata ntajua unajua! na hiyo avatar yako mmh!
Niliitwa kiwalanikwagude mmenipa ban, sasa nimerudi tena
Nasisitiza Mwanakijiji namjua kwasababu ni ndugu yangu
Na 4 sure siwezi kuhama JF coz iz never boring!
Signed 4rom New York, UsA
mmmh nina shaka hapa kama kina Ambassador Mwanaidi Majar hawajapiga cha juu...mmmh au JK huyuhuyu, mi naona ufanyike uchunguzi, labda to put record clear Comrade Mwanakijiji upo hapo Detroit, je umeshafanya uchunguzi wowote? hatutaki tume ya bunge wala nini? wala macorps wetu, na mimi naanza...
Kama ulidhani unachokisoma vitabuni kuhusu Mwanamapinduzi Martin Luther King Jr kilitokea hapa tu nchini Marekani basi ujue unajidanganya tena sana, hebu mwone huyo Mtetezi wa wanyonge hapo juu, mwangalie vizuri tu, si mwingine bali ni Gobless Lema.
Huyu ndiye Lema anayemfanya JK akose usingizi...
Nimekerwa sana na kitendo cha huyu kijana Nape Nauye ambaye ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama tawala huko home CCM, nashindwa kuelewa nini hasa kilimleta hapa Marekani? huku akijua fika kuwa maisha ni magumu hapa yeye kwa kuwatumia baadhi ya vibaraka wao wakatupotosha tukadhani huyu dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.