Mimi nilikuwa na kigugumizi hadi kufikia miaka 17 na kilinipa shida sana. Ila nilijifunza jinsi ya kukishinda na namshukuru Mungu niliweza. Jifunze namna ya kulishinda hilo tatizo. Ila kama alivyochangia mdau hapo juu, akiwa nacho mwanamke baadhi ya wanaume huwa tunakifurahia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.