Search results

  1. heynest35

    KITHEMBE KINANIFANYA NICHEKWE.

    Mimi nilikuwa na kigugumizi hadi kufikia miaka 17 na kilinipa shida sana. Ila nilijifunza jinsi ya kukishinda na namshukuru Mungu niliweza. Jifunze namna ya kulishinda hilo tatizo. Ila kama alivyochangia mdau hapo juu, akiwa nacho mwanamke baadhi ya wanaume huwa tunakifurahia sana.
Back
Top Bottom