Hivi watu mnapata wapi ujasiri wa kusingiizia watumishi wa Mungu maneno kama haya.? kama huyo mtu wa rfa hakutaja majina, inakuwaje unaconclude kuwa ni Sedekia na Mwakasege wakati mwakasege si mchungaji.? Msijitafutie laana kwa nguvu toka kwa Mungu.
Hata ccm wana kauli tata nyingi tu. Kuna mwingine alisema wauaji wa maalbino wauawe.Nasari pekee asihukumiwe kwa hili ila wanasiasa wote wawe makini na kauli zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.