Au mi nimeelewa vibaya... Ujue kuna baadhi ya watu kuongea kiswahili kwao.. Ili waeleweke.. Wanabadili maneno ya kiingereza kwenda kiswahili... Na hadhira anayoongea nayo, anaitafsiri kama ni wale "laymen" kabisa... Kwa hiyo anaiangalia hadhira, anaiona inamtegemea yeye kama "mtatuzi" wa mwisho...
Wako wangapi wenye shida kama hizo sasa.. Au Rais awe anatenga muda katika ratiba zake wa kufika kila wilaya kusikiliza matatizo yaliyoshindikana na watendaji wake? Liko practical kweli hilo?
Hata mimi ndivyo nafahamu... Uongozi uliopita pamoja na mazuri na maovu yake, lakini sifa ya ziada ilikuwa kujipendekeza. Na kutotekeleza majukumu kwa weledi. Professionalism. Ulificha mengi ya ukweli ili kumfurahisha mmoja.
"There was an error. Please try again."
Mimi ni mtumiaji wa Clubhouse kwa miezi miwili hivi. Nina swali moja, huwa ninashindwa kujiunga na ma-group... Yaani kuwa member. Niki-click pale kwenye kile "kinyumba", yanakuja maelezo hayo hapo juu... Naombeni ushauri juu ya hilo.
Asante.
You nailed it bro!!!
The guy is a gentleman... Alikuwa mbele yangu kwa vidato. But he is alright.
Seriously customer satisfaction huwa haipo kwenye public services... Theseare right people to head those entities...
Sijawahi kusikia Rais yeyote ambaye alipata kuongoza hii nchi... Na hakupata lawama... Hata mmoja...! Mwinyi alionekana hana lolote, anaendeshewa nchi na "familia" yake, Mkapa aliitwa mbabe, na akakosolewa sana na sera ya ubinafsishaji, kuuza nyumba za serikali bei chee,Kikwete aliwahi kusemwa...
Wewe kama ni muerevu, pitia taarifa za nchi zilizochanja vizuri kama Israel na hata Uingereza... China pia ugonjwa ulikoanzia...Utapata majibu ya ngonjera hizo...
Pitia hata taarifa za Cuba.. Itakusaidia...
Nashindwa kuelewa baadhi yetu... Kwani Malaria, pamoja na kuwepo madawa kibao, hakuna...
Mi sipingi wala kukanusha majibu ya wadau waliochangia huu uzi, ila nililoliona kwa macho ni moja, wamekamatwa watumishi mbalimbali wa idara ya elimu kwenye halmashauri niliyoko. Idadi yao yapata 20. Na wamekamatiwa majumbani mwao! Usiku! Siku ya kwanza tu ya mitihani hiyo!
Duh... Ndugu, kumbuka hii ni world disaster...yapo mengi yaliwekwa kapuni kwa ajili ya immediate solution ya gonjwa hili... Rejea vifo vya Wuhan, Brazil, Italy, na sasa India...
Na athari zimekuwa catastrophic... Lockdowns zimeua biashara za utalii, biashara za mafuta, na biashara zingine...
We mdau umetafuta hicho kitabu ukaona ni kweli kuna hayo maandishi?? Ukifowadiwa vitu na wewe kachunguze kwanza kabla hujafowadi kupotosha zaidi... Lete ukurasa...
Huu uzi watu wanajadili ki-layman sana... Badala ya kujadili kwa mapana na marefu ili ufaidishe jamii iliyomo humu. Na yote imechangiwa na mleta uzi kuugeuza kuwa wa "kimipasho" sana...
Kwa sisi watu wa medical field mngeweza ku-benefit masuala juu ya uhalisia... Mjue watu humu JF, tuna-type...
Mi ninachoshukuru ni approach ya kutoujali sana huu ugonjwa. Maana ulileta hofu kubwa. Na hofu ikasambaa kila mahali. Matokeo ya hofu huwa ni mabaya, kwani inaleta upungufu wa kinga mwilini, na hivyo kuugua magonjwa kirahisi, na hatimaye kupoteza maisha. Ushauri ni kuendelea na maisha binafsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.