heheheh, kuna mtu aliniazima gari yake niende nayo misele siku anaifuata ilibidi angoje kama robosaa niondoe item zangu
alibaki anatingisha kichwa kwa mshangao cause hiyo ni siku moja cjui angeniachia kwa wiki moja ingekuwaje :A S 39:
Unaona Mlivyo na fikra potofu, na mtazidi kuacha hapa na dadazenu wakachukuliwa na hao wanzungu:-
-Nani alikwambia Mtoto wa kike ana kwao?
-Nani alikwambia maendele ya nyumbani kwao na mtu yanategemea yeye kuolewa?
-Nani alikwambia mdada kuolewa nilazima atembelee kwao mara kwa mara hata kama...
Una Experience au unatoa ushahidi kutocana na movie ?
Tukijumuisha kuwa wanaume wote wa kibongo ni wabakaji wa watoto wao itasaundi vizuri? usijumuishe wazungu wotwe kwa maneno ya kusikia,
Ninachojua Wazungu wengi wa wingereza sikuhizi wanatafuta Waafrica au Russian women kwasabu Atleast we...
Kaka zetu wa kibongo acheni kuwakatisha tamaa wenzenu kwavile mnanyang'anywa matonge yenu, mkiongelea ubaguzi mbona hata hapa upo, marafiki zangu kibao wanalalamika wanavyonyanyapaliwa na wakwe zao eti kisa mke ni msukuma na mme ni mchaga, au Mke ni mhaya na mme ni mmasai.
Love doesnt judge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.