Nimetoka Ofisi za voda nimeiona hii... wanaita Vodacom Supakasi Unlimited ambayo inaanzia 50k kwa gb24.6 na
85k nimesahau gb ngapi wanatoa...
Hii wameweka bonus na ili upate huduma hii ni hadi line yako iombewe uwezo wa kujiunga na vifurushi hivi ... ukimaliza hizo gb speed inashuka unaendelea...
Kauli ya Mbowe kwa tafsiri nyingine ni Kwamba Dr.W.Slaa amesusa, labda uko mbeleni akijisikia kuungana nao atafanya hivyo....
Kwa mtizamo wangu ni kwamba Dk.slaa ameweka slaa chini kwenye uwanja wavita na vita yenyewe ikiwa ukingoni kabisa..
Ni watakie kila la kheri CHADEMA tuko nyuma yenu.
kwa nyie wageni wa technolojia ni shida sana, inawezekana camera haijasetiwa time n date so inasave kwa mwaka wakutengenezwa hiyo camera mkuu. Na wabongo wengi kuset mda na tarehe kwenye camera hawana huo mda
Niliposikia tetesi za Dr.W.Slaa kususa nilidhani niuzushi tu, la kwa uzi huu nashawishika kuamini Dk.Slaa ameamua kujitenda na chama rasmi.. Ni jambo gumu na la kuumiza sana kuona haya yanatokea wakati huu, hama kweli siasa ni zaidi ya tunavyoielewa wengi wetu.
Pole ndugu, BlackBerry tour ni kwamba inatumika kwa teknolojia mbili , cdma na gsm , huko ilikotoka ilikuwa inatumika kwenye CDMA kama Verizon wireless n'k so ina configuration za cdma , kuziona piga ##000000 utaona pop-up window .
Sahau kuhusu mpesa menu ,salio au kuweka salio kwa ussd kama...
Mkuu tigo pekee kijijini kwetu Machame Nkuu Sinde ndio wana 3G na speed ya ukweli.
Kwa upande wa kaskazini tigo wamewekeza sana, isitoshe waangalia wepesi wakurudisha gharama zao za uwekezaji wa hiyo mitambo ya 3G kumbuka siyo vijiji vyote vinaweza kupata hiyo huduma kwani baadhi ya vijiji...
Still inapiga kazi kama kawaida but kama unayo mda mrefu kwa simu... maana yake niki uninstall na kurudisha tena itagoma kuwa activated, hivyo kwa wale wapya ni vigumu sana kuweza kutumia OG kwa sasa.
Na huo ndio ukweli wenyewe. Sasa changamoto ni kuwa wao wanaingiza kipato kipi kupitia hii app hadi waweze ku-upgrade server zao maana inahitaji pesa mkuu
Mkuu simu yako inahitaji kureload OS upya , fanya hivi connect simu yako kwenye pc ukiwa umeconnet internet, na uwe na bundle lisilopungua 300Mb hivi .
Fungua blackberry desktop manager, kama hauna google na udownload. Baada ya BDM kufungua itakuja msg ya kukuambia simu yako haitambuliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.