Search results

  1. PauloKichaa

    Watanzania tunasahau mapema sana

    Ukiangalia yanayoendelea utagundua tatizo la hii nchi ni kutokuwa na dira shirikishi ya pamoja ambayo inatoa mwelekeo wa nchi na wananchi wakaelewa na hii ndio maana kila anayeingia tutamshangilia hasa anapoenda kinyume na mtangulizi wake halafu baada ya muda mbele tunaanza kumkumbuka...
  2. PauloKichaa

    Mkoa wa Kilimanjaro unavyouaibisha mkoa wa Dar e Salaam kitaaluma

    Andiko jema Kikubwa ni chakula na hicho ndio kianweka significant difference katika mikoa hii miwili
  3. PauloKichaa

    Moja ya ndege za ATCL Bombardia iko Zanzibar wiki ya pili sasa inatengenezwa

    Siku hizi kumekua na watu wa ajabu sana yaani ukisoma comment za watu hapa inaonekana kuna watu wanatamani siku moja hata zidondoke wafurahi na wapate cha kuongea
  4. PauloKichaa

    Nawakumbusha tena kuwa Makonda sio mdogo kama wengi tunavofikiria

    Kama alimpiga kofi jaji Warioba na hakufanywa kitu na bado yupo hata mimi namuogopa aisee
  5. PauloKichaa

    Kangi Lugola: Hakuna mtu muongo kama CAG Assad! Akithibitisha madai yake nitajiuzulu

    Jibu hoja unavua nguo watu wanakula ndipo tulipofikia
  6. PauloKichaa

    Musukuma(Mb): Kwanini msiruhusu bangi kama Canada? Maprofesa wetu ni bure, sisi darasa la 7 tuna akili za kuishauri Serikali

    Miongoni mwa uelekeo wa dunia ni katika mapinduzi makubwa ya matumizi ya mmea wa bangi ambao umeonekana kua na ufanisi mkubwa kwa kutengeneza dawa zenye kuweza kuondoa maumivu makali hususani kwa wagonjwa wa saratani. Lakin licha ya watumizi hayo imeonekana katika nchi mbalimbali mmea huu...
  7. PauloKichaa

    Viongozi wa upinzani bado wako mahabusu 2019

    Inakujae kina Freeman wako mahabusu hadi leo, then Watananzia ambao hutetewa nao kwa mambo mengi wako kama hakuna suala hilo? Ukiwa mstari wa mbele jipange.
  8. PauloKichaa

    Urais wa Magufuli umetuumiza sana wanaCCM....!

    Fanya kazi kwa juhudi hutaanza kulialia ccm ni imara zaid sasa
  9. PauloKichaa

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Natafuta soko la nguruwe shamba liko himo bei nzuri kwa wanaonunua nguruwe tuwasiliane pia nina watoto wa kisasa kabisa white large wazuri
  10. PauloKichaa

    Almasi ya Bilioni 32 inayodaiwa kukamatwa Uwanja wa ndege Dar ni Uongo wa karne!

    Kwa Tanzania kinakushangaza nini hapo mnona porojo za kawaida sana
  11. PauloKichaa

    Connecting the Dots: Waziri Mpango na Dotto James(MoF)

    Kua ndugu si tatizo swala kuitumikia nchi kwa weledi na mpaka sasa hakuna shida zaidi ya vijimaneno tu
  12. PauloKichaa

    Nimemtelekeza supermarket na bili ya laki nne

    We unamakosa utakua ulijishaua kwa nini tangu mwanzo usinge mweleza hali yako ya kifedha ili aww na uamuzi sahihi
  13. PauloKichaa

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Wamzuie tu lowassa anatafuta sifa anaendaje msibani na watu weng namna hiyo?? Hajui magufuli anaumia?
  14. PauloKichaa

    Kununua Bendera ya Tanzania

    Cha msingi ni bendera
  15. PauloKichaa

    Kununua Bendera ya Tanzania

    0.8m mkuu ni typo hiyo
  16. PauloKichaa

    Kununua Bendera ya Tanzania

    Nipo palestina nataka mtu anitumie niliagiza mtu hapo nyerere road akakosa ila shukran ngoja niangalie kama naeeza pata namba zao
  17. PauloKichaa

    Kununua Bendera ya Tanzania

    Msaada, nahitaji kununu bendera ya Tanzania ya ukubwa wa urefu 1m na upana 0.8m, naweza nunua wap hapa Dar, nimetafuta maeneo mengi nimekosa au kama kuna mtu ana contacts plz.
  18. PauloKichaa

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Anagawa elfu 5 kwa watu wanaoandika majina kumdhamin iringa
Back
Top Bottom