hii nayo ni kali ebu angalia uhusiano wake na huyo mumeo yawezekana na mumeo ametafuna wa kwake sasa anataka lipiza kisasi kazi kwako mtunzie heshima mumeo na uache kabisa mialiko sehemu hatarishi maana hapo ulipopewa miadi unapajua na wajua kuna nyumba ya kulala wenyeji na wageni sasa mke wamtu...
Umemwogopa sana huyo Demu na umempa thamani ya juu sana na hivyo huamini kama amekupa. Tulia amini ni mwanamke kama wale uliokutana nao then kamata kitu. pata valuu au viceroy kidogo utashangaa matokeo yake
gaga kweli maana ya kiss kiasilia ni kuonyesha mapenzi ya kweli kwa umpendae lakini SASA kuna Kiss nyingine za kuingiliwa mifukonia au kutaka kitu kikishapatikana umeliwa busu huhama sasa kazi ni kutambua aina ya Kiss upewalo
Yaani ni wazi kwa Tabia ya wanaume wengi habari hiyo ikimfikia ndoa hakuna. Bora kukaa kimya kama waitaka ndoa yako otherwise kupanga ni kuchagua kupoteza mume.
Usinichekeshe maana nakumbuka siku jengo la NSSF Bukoba (Jengo pekee lenye lift mkoa wa Kagera ambako asilimia 70 ya maprof wametokea) wali walivyoshinda kwenye lift kwenda juu na kutelemka bila kutoka mchana kutwa. Kweli kanda ya Ziwa yahitaji Mabadiliko. Ni kanda ambayo madukani huwezi kuta...
mama
unachotakiwa ni kukaa kimya na kwa hali yoyote huyo mzinzi mwenzio hata kuja kumfuata mtoto kwani kwa kufanya hivyo hilo ni fumanizi na kama ni mtu anayejiheshimu hawezi ingia kwenye kesi ya Fumanizi.
Siwezi kukulaumu kwani yawezekana ulikuwa na sababu ya kumweleza huyo mwizi kuwa...
Ndugu ushauri kula vizuri mboga mboga, matunda ukiweza tumia matoke zaidi kama mlo, mazoezi ya kutosha punguza au ondoa mawazo epuka kuoga maji ya motoa usivae chupi za kubana acha kuendesha baiskeli kama unafanya hivyo. ukshindwa kabisa pata dawa waweza cheki dawa moja ya kihindi inaitwa...
Mi napata shida sana kuamini maneno ya polisi kwa sababu ni wabambikizaji wazuri. Angalia sakaka la Mwanza askari kurushiana makonde wakigombea Madawa ya Kulevya (Mirungi) ilivyopotezewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.