yawezekana wewe ndio kwanza umetoka kupanga na ulinunua kiwanja enzi za CDA ndio maana unateseka, sie wenzio wa kongwe Dodoma kuna majumba sio kiwanja chako unachopigia kelele hapa ambapo hujiu pa kuelekea , unakuja huku unapewa ushauri una leta maneno ya kwenye kanga. basi endelea na CDA yako.
Ifike mahala tasnia ya habari iweze kuheshimiwa na kutunza heshima hiyo hususan waandishi wenyewe, kwa mandishi ili afanye kazi na kampuni kupata fedha lazima kuwe na ubunifu na mawazo chanya ,kwa mwandishi wa habari aliona na kuichulia hili kuwa ni habari ambayo anaweza akauza, may be...
Mi ninacho shauri mkuu wa msafara ampangie kazi nyingine kulingana na elimu yake kama inavyotokea kwa watu wengine,
Taifa letu linapata adha kubwa sana kwenye masuala ya utawala hasa kwa kupeana vyeo bila kutatmini elemu kwanza, hakika wako watanzania wengi sa.na wenye uwezo wa kufanya jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.