Search results

  1. BABU CHONDO

    CDA Mnatupa mateso ujenzi Dodoma

    yawezekana wewe ndio kwanza umetoka kupanga na ulinunua kiwanja enzi za CDA ndio maana unateseka, sie wenzio wa kongwe Dodoma kuna majumba sio kiwanja chako unachopigia kelele hapa ambapo hujiu pa kuelekea , unakuja huku unapewa ushauri una leta maneno ya kwenye kanga. basi endelea na CDA yako.
  2. BABU CHONDO

    CDA Mnatupa mateso ujenzi Dodoma

    Yawezekana kweli unasumbuliwa kwa kuwa unaenda CDA ambayo kwa sasa haipo kabisa ilishafutwa, fanya mpango uende kwa Mkurugenzi wa Mji wa Dodoma.
  3. BABU CHONDO

    Nape, usipolichukulia MwanaHALISI hatua utakuwa una chuki binafsi

    Ifike mahala tasnia ya habari iweze kuheshimiwa na kutunza heshima hiyo hususan waandishi wenyewe, kwa mandishi ili afanye kazi na kampuni kupata fedha lazima kuwe na ubunifu na mawazo chanya ,kwa mwandishi wa habari aliona na kuichulia hili kuwa ni habari ambayo anaweza akauza, may be...
  4. BABU CHONDO

    Kwa hali ilivyo sasa, ni wazi kabisa kuwa Paul Makonda atajiuzulu au atatenguliwa!

    Mi ninacho shauri mkuu wa msafara ampangie kazi nyingine kulingana na elimu yake kama inavyotokea kwa watu wengine, Taifa letu linapata adha kubwa sana kwenye masuala ya utawala hasa kwa kupeana vyeo bila kutatmini elemu kwanza, hakika wako watanzania wengi sa.na wenye uwezo wa kufanya jambo...
  5. BABU CHONDO

    Hatua ya Rwanda Kimataifa Tanzania Tunafanya nini

    Hiyo Funded by sijaielewa ni kinyaruanda ama?
  6. BABU CHONDO

    Rais Magufuli: Uhakiki mdogo umeshabaini watumishi hewa 1,680 Serikalini!

    Majitu kama haya ndio yana stahili kifungo cha Maisha
  7. BABU CHONDO

    TCRA, hawa SimNet Tanzania ina maana wamewashinda?

    Hii taarifa yako mbona umeandika kama unaota?
  8. BABU CHONDO

    Must see Movies

    Hiyo hiyo unaipata kama ilivyo
  9. BABU CHONDO

    Must see Movies

    Tumia torrent
  10. BABU CHONDO

    King'amuzi cha Azam tv na mvua

    Piga customer care
  11. BABU CHONDO

    Bandari ya Zanzibar inalindwa na wanajeshi miaka yote, why not Dar?

    Sasa hapo kunatofauti gani kama vimeo vipo?si yale yale ya Dar, kwa sasa wahitajika watu wenye uchungu na nchi hii sio wenye uchu
  12. BABU CHONDO

    Rais Magufuli amteua Prof Lipumba kuwa mshauri wake [TETESI]

    Hii habari nina mashaka nayo
  13. BABU CHONDO

    Mabomu Kinondoni mida hii

    Ndio hayo hayo ya machozi, naomba niliweke sawa hilo kama hujanielewa.
  14. BABU CHONDO

    Mabomu Kinondoni mida hii

    Niko jirani na Biafra naendelea kusikia milio ya mabomu hadi sasa.
  15. BABU CHONDO

    Offer: Natoa Ofa ya kutengeneza website

    Weka details na gharama ya hiyo kitu
  16. BABU CHONDO

    Zikiwa zimebaki siku tano, Home Shopping Centre yasitishwa uwepo wake

    Guys who own Pugu mall and Msasani Mall?
  17. BABU CHONDO

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Nenda Udom wako kibao hao unaowataka
  18. BABU CHONDO

    Ziara ya Magufuli jimbo la Vunjo: Lyatonga Mrema aungana na CCM kwenye kampeni

    Mrema hajitambui kabisa,hata kura na wasi wasi atapata za familia yake tu na wanachama wachache
Back
Top Bottom