Nasindwa kuelewa mamlaka hii! siku mvua ikinyesha tu DAR ndo mkurugenzi wao anatoka kwenye TV, redio n.k kutabiri hali ya mvua hapa nchini! kwa nini asitabiri kabla mvua haijanyesha!!!!!!!!! utabiri wenyewe huwa ni uongo mtupu!, mara sunami hiyo inakuja mara mvua kubwa siku kadhaa n.k! Hivi...
Hiyo ndiyo Tanganyika, hakuna anayewajibika, kila mtu na kiwazo chake tu cha kupata ugali wa leo! maendeleo tutayasikia tu labda mtume arudi kutuokoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.