Huyu ni mpenzi wako na siyo mke wako Hivyo wewe una uhalali wa kumfanyia wako .kwanza nimependa swali uliloulizwa Huyu dada ulimkuta na bikira ?? Kama Hapana basi Huyu wameshachapa wengi sana na usije gombana na rafiki yako kwa sababu ya mwanamke wanawake wamejaa kibao tena wazuri Huyu ni mwogo...
Tughe ni chama ambacho kinaongozwa na viongozi ambao ni mafisi kwani Hawana faida yoyote kwa wafanyia kazi
zaidi ya kula na kufanyia ufisadi mkubwa kwa pesa za wanachama kuna ubaya gani kutaja Mashahara wa Rais au pinda
acheni kujipendekeza. Mafisi wakubwa mnashindwa kutetea wafanyia kazi...
Huyu kamanda shilogile anasitahili pongezi Kubwa sana kwa jinsi alivyoweza kuwasimamia vijana wake kupambana na gaidi hatari Kama ponda. Ponda ni gaidi la kiislaamu na chama chao cha magaidi cuf wapo nyumbani yake na Huyu ndiye aliyeratibu kuwamwagia tindikali wale watotot Kisstie na Katie Huyu...
Napenda kuwakumbusha maneno ya karnal askofu pengo kwa wenye. Kumbu kumbu Miaka Kama Mitano iliyopita aliyasema hayo akiwa kagera namnukuu baba askofu msione. Hawa wanajipambanua kuwa ni wapambanaji wa ufisadi siyo wakweli. Nia Yao ni Madaraka na kugombania kula wala Hawana uchungu na wananchi...
Huyu mwakiembe ni kati ya mafisadi wakubwa yeye na Sita samweli aliahidi kuwa wangeisaidia serikali katika Kesi ya rechimond Wako wapi wamewaponza serikali kwa tamaa zao za Madaraka
Tatizo Kubwa ambalo watu wengi humu ndani ya mtandao wanalo ni utapimilo wa fikira wakishampenda mtu atakama ananuka basi watamngangania toka mwanzo sisi tunaona Mbali tulisema kuhusu Huyu ndg harson mwakiembe kuwa Huyu ana lolote zaidi ya masilahi yake binafsi na ya familia yake Hakuna mtu...
Lakini hiyo number kama ni ya jina la makinda binafsi hakuna kesi hivyo makinda yeye anatakiwa akashitaki yeye binafsi kama ni jina la spika hapo kuna hoja hivyo je simu ni ya jina la nani.
Sasa kiko wapi mmeshaambiea gas siyo yenu nendeni kupalilieni mikorosho yenu jamaanii sasa mnataka mikutano ya kazi gani gas lazima kwanza dar es salaam ulipo serikali Nyie ni baadae sana ,hiyo ni Mali ya watanzania wote Mbona kahawa mlinufaika Kwani mnadhani pesa ya kujenga bara bara Imetokea...
Kwanza Nyie Watu futeni NENO gas yetu Nyie sheria mnajua ARIDHI n Mali ya Amri jeshi mkuu jakayamrisho kikwete
sasa kashaamua gas ije dar hivi Mtwara hakuna Watu wa ARIDHI wamfundisheeni hao wamakonde ni nani anayemiliki ARIDHI mwakilishi wa rais hapo mtwara ni Mhe simbakalia Ndiye mwenye...
Kwani walikuwa wapi Siku zote mpaka waje kuzunduka usiku huu Kama siyo upuuzi wao na ujinga mikorosho inakauka kwa kushindwa kupalilia Hawa Watu niwavivu wafikra wanapenda dezo Kwani gas wame Chimba wao wachimbe ya kwao Mbona kuna maeneo Mengi tu yana gas Tatizo manawapa vichwa hao Watu
waambie...
sasa hili swali mnamuuliza nani Kwani ni nani aliyewazuia Watu wa mtwara kujenga viwanda mnataka nani awajengee kwenye kuchimba na kufanyia utafiti wa gas Nyie Watu wa mtwara mmewekeza Kiasi gani ?????? Simba kalia yuko hapo kiboko yenu atawararua na kuwatafuna tafuta kamanda simb a kalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.