Sasisha ios kuwa toleo la 12 kisha pakua app inayoitwa siri shortcut na kisha tafuta shortcut inayoitwa media grabber.hiyo inapakuwa mitandao yote ya kijamii inapakulia kny photo gallery au ukipenda kny prongram yeyote inayocheza video.
Apple vs Samsung
Ni mjadala wa kimahaba kwa wanapenzi wa simujanja
Ukitazama sana utagundua apple anatumia vifaa vyenye uwezo wa kawaida kiutendaji kutengeneza simu inayokuwa bora kabisa kutokana na uwezo wao ktk kudizaini hardware na kutyuni software ifanyekazi vizuri.
Samsung wanatengeneza...
Huawei wanatengeneza mitambo ya mawasiliano pia ambayo inatumiwa na ttcl ambao mitambo hiyo ndiyo njia kuu ya mawasiliano Tanzania.Hivyo kuhofia kudukuliwa ni bure kabisa.Hifaa chochote cha elektroni unachotumia kinadukulika.Wadukuaji si wachina pekee kuna wababe wao Warusi,wamarekani nk.hizo...
Ukichukua simu za matabaka yote kwa maana ya kuwa kuanzia zile za dollar 200 -1000 Huawei mwaka jana walikuwa na namba moja katika masoko ya simu sehemu mbalimbali duniani.Huawei wenyewe wanaamini matoleo ya HONOR ndiyo yanafanya vizuri katika tabaka la kati na chini la simu wanazouza.
Huawei ni ya tatu katika orodha ya kampuni zilizo uza kwa wingi simu za bei kuanzia dollar 600 -1000 kundi ambalo simu zenye ubora wa daraja la kwanza.Huku tecno hagusi.
Tuko pamoja mkuu.
Huawei wanatengeneza system on chip (soc) zao zinaitwa KIRIN,component zingine kama kamera na sensa wanazotumia nizile zenye ubora wa hali ya juu.Ndiyo maana huawei zinauzwa dunia nzima na hata google wamewahi shirikiana kutengeza simu pamoja,hadhi ambayo ni samsung,HTC na...
Original zipo ila tatizo bei mara nyingi huwa si rafiki kwetu.ninacho jua kila simu toleo jipya kwa apple na Samsung ISP Kama voda na tigo huwa wanauza ila bei Ian is ml 1.9 hadi 2.5 sasa kwa iPhone X itakayo uzwa kuanzia dollar 1000 hadi 1200 huko ughaibuni huku itakuwa tsh ml 3.Na ughaibuni...
Kama airtel ni tatizo eneo lako tafuta ttcl nao wanabando inayofanana na hiyo kawa jina la T-TV.Mimi nimetumia T-TV ya mwezi kwa tsh 8000 Matumizi yangu yalifikia kiasi cha Gb 40.
Mimi niko Mbeya mara ya mwisho kufurahia data ya Airtel ilikuwa mwaka 2014 walikuwa ndiyo wenye speed bora kabisa ya data,toka 2015 hadi Leo uzeufu wangu ni sawa kabisa kama mtoa mada.Nilikuwa nadhani labda tatizo ni langu tu kumbe tupo wengi.kwa sasa na vinjari na Halotel au ttcl kwa data...
Airtel wana Airtel tv sh 500 kwa siku pia HBO full siku nzima Kama unaishi sehemu network ya Airtel ni nourish na mpenzi wa movie za kimarekani hii iko vizuri,local Chanel ni chanel ten,tbc.
Mkuu nakaupongeza sana kwa kuanzisha kundi hili,nimekuwa natafuta kinda la namna hii kwa muda mrefu.kinatia excel kwa kiasi Fulani katika kazi zangu.Nina kiu ya kijifunza kutenzeneza matokeo ya wanafunzi wangu kwa mtundo wa NECTA.Nina weza kubadili Maksi tarakimu kuwa Hereford (grade).vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.