nape najua wewe ni mchapakazi mzuri sana lakini nashindwa kuelewa kwanini wewe sio muumini wa ukweli! nilitaka niseme njaa inakusumbua lakini najua uko vizuri. acha kuusaliti ukweli! tunaoipinga ccm hatuna maana kwamba cdm ni wazuri sana la asha! tunaipinga kwasababu imepanda mfumo mbaya kwenye...
wana jf,nimekaa nikawaza jinsi ya kupunguza msongamano jijini dar na jinsi
ya kusambaza maendeleo nchi nzima na
nimekuja na mawazo yafuatayo;
1.katiba mpya itamke bayana kua,mji
mkuu wa tanzania ni dodoma na raisi wa
tanzania ataishi dodoma
2.makao makuu ya wizara yatakua mikoani...
ninachowaomba watanzania tuwe wazalen
do,kwa kukosa kwetu uzalendo ipo siku mtu
ataukataa uso wake,kisa mbaya! tunacholal
amika ni kupigwa,kuporwa,kuzalilishwa na
vyombo vya dola vya msumbiji.suala la mtu
kuhonga mwanamke dola 300 ni suala binafsi,lakini askari kuchukua paspoti na...
wengi mmeshauri turudi hm,sijakataa
lakini ikumbuke tulitangaziwa na marais
wote wawili kwamba tubadilishane uzoefu
ndio tukachangamkia.bongo kweli ni fresh
lakini ukiwa na capital,mikopo benk mpaka
uhonge ndio maana tunatafuta,bongo yeny
ewe ajira hamna mpaka uwe na ubini wa mwanasiasa...
jamani mimi nipo msumbiji,kinachotupata
huku watanzania mungu ndio anajua.tunavuliwa nguo na poli
si,tunanyang'anywa pesa na paspoti na
wengine wamepigwa risasi.jambo hili
haliitaji uchunguzi,wewe jifanye tu unakuja
msumbiji kupitia mtambaswala au mtwara
yatakayokupata utajuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.